unakihitaji lini?wana jf natafuta kitabu kiitwacho microeconomics with calculus kimeandikwa na waandishi wawili lakini namkumbuka mmoja tu anaitwa elizabeth hoffman,yeyote ambaye anacho na yupo tayari kuniuzia tuwasiliane.
Mpe bure... AU piga photocopy umuuzieNinacho bt sikiuzi.
Microeconomics With Calculus
by Brian Binger, Elizabeth Hoffman....View attachment 42741
upo tayari kutoa bei gani..nikuletee hicho kitabu?.
kiasi utakacho taka wewe ila tu kama kitaendana na thamani yake.mzigo si wako nitakupangiaje bei?[/
Kama wewe mwanamke ninacho kama mwanaume sina.
kiasi utakacho taka wewe ila tu kama kitaendana na thamani yake.mzigo si wako nitakupangiaje bei?[/
Kama wewe mwanamke ninacho kama mwanaume sina.
naomba nije nimchukulie.....mimi ningekuwa nacho ningempa bure....mlio nacho msaidieni mwenzenu.....
angekua wa kike ningempa bure..Mpe bure... AU piga photocopy umuuzie