Mwenye CV ya Spika (Mussa Zungu)

Mwenye CV ya Spika (Mussa Zungu)

Ana uraia pacha hapo alipo.
Umri umeenda sana,

Hana busara ya kuongoza Bunge , sababu ya historia yake ya kushiriki kufanya Biashara za kihuni enzi izo kk.

Na ndio maana unaona anaropoka hovyo TU 😂 , hata akiwa Yuko mbele ya Bunge, tegemeeni Bunge kuendeshwa kihuni/ mafia.

Huku zungu katikati Maza mbele ema , ngoja tuone hizi kete zitakavyo sukumwa.

Ni mraaibu wa Tambuu.
 
Ana uraia pacha hapo alipo.
Umri umeenda sana,

Hana busara ya kuongoza Bunge , sababu ya historia yake ya kushiriki kufanya Biashara za kihuni enzi izo kk.

Na ndio maana unaona anaropoka hovyo TU 😂 , hata akiwa Yuko mbele ya Bunge, tegemeeni Bunge kuendeshwa kihuni/ mafia.

Huku zungu katikati Maza mbele ema , ngoja tuone hizi kete zitakavyo sukumwa.

Ni mraaibu wa Tambuu.
Na mirungi
 
  1. Elimu ya sekondari
  2. Skolashipu ya serikali kwenda kusomea Ufundi wa ndege nchini Kanada
  3. Ajira Fundi wa ndege JWTZ Kamandi ya anga mara baada ya kurudi nchini
  4. Veterani wa Vita ya Kagera kumgoa Nduli Idi Amin Dada 1978 /79
  5. Afisa mtambuzi / military intelligence TPDF
  6. **Utumishi JWTZ akastaafu mapema 1982 / 1983 vuguvugu la uhaini ?? dhidi ya utawala wa Nyerere ??
  7. Askari wa akiba JWTZ
  8. Kujitupa katika Biashara
  9. Kujiunga na Siasa
  10. Mbunge
  11. Naibu Spika
  12. Spika
***
Muuza ngada mbobevu
 
  1. Elimu ya sekondari
  2. Skolashipu ya serikali kwenda kusomea Ufundi wa ndege nchini Kanada
  3. Ajira Fundi wa ndege JWTZ Kamandi ya anga mara baada ya kurudi nchini
  4. Veterani wa Vita ya Kagera kumng'oa Nduli Idi Amin Dada 1978 /79
  5. Afisa mtambuzi / military intelligence TPDF
  6. **Utumishi JWTZ akastaafu mapema 1982 / 1983 vuguvugu la uhaini ?? dhidi ya utawala wa Nyerere ??
  7. Askari wa akiba JWTZ
  8. Kujitupa katika Biashara
  9. Kujiunga na Siasa
  10. Mbunge
  11. Naibu Spika
  12. Spika
***
Nsibu Meya Ilala?
 
Baada ya kusoma kuhusu elimu yake ,nimejiridhisha pasi na shaka elimu yake ni ya msingi au ukitaka kutumia lugha ya kupunguza ukali wa maneno iite ya mfereji.
 
TZ kila mtu ni TISS hata waokota makopo barabarani ni TISS usiwaone vile wapo kazini pale 😁

Nini cha maana TISS wamewahi kufanya toka kuanzishwa kwao?
Hata sijui, 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom