Mwenye CV ya Spika (Mussa Zungu)

Mwenye CV ya Spika (Mussa Zungu)

Hivi ana certificate hata ya Sheria tukiachilia mbali "nyuzi"(Degree)?
 
Ndiyo maana akapelekwa mafunzo nchini Canada, kisha kujiunga na jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ / TPDF

Inaonesha miaka hiyo haikujalisha nasaba yako , bali kama ni mzalendo unaweza kuajiriwa vitengo nyeti na katika vyombo.

Babu yangu aliniambia kuwa kuvuja taarifa za kuwepo njama za mapinduzi, zilianzia kutoka kwa mtanzania tajiri mzalendo mgiriki (mzungu) ambaye alikuwa mmiliki wa hoteli ya Motel Agip jijini Dar es Salaam.

Huyu mgiriki alikuwepo katika listi ya watanzania wa asili mbalimbali waliokuwa wakitegemewa kupenyeza taarifa nyeti kwa vyombo vya usalama.

Tukumbuke hata mzee Dewji mnyiramba wa Singida alishiriki vita vya Kagera na kuendesha Lori hadi mpakani mwa Uganda na Sudan huko Arua akiwa mgambo aliyejitolea kushiriki katika vita hiyo ya Kagera

Jeshi kulikuwepo watu wa nasaba mbalimbali za wazalendo wa kiTanzania na hata kushiriki kutaka mbadiliko (uhaini ) au pia walishiriki kuzuia uhaini kama raia wengi waTanzania.


SOMA ZAIDI : mchango wa raia wa kigeni kabisa wasio raia :

Zungu ana damu ya kigiriki, nahisi either mama yake au bibi yake wa mama ni mgiriki
 
Itakuwa ndio spika mwenye level ya chini ya elimu.

Ameshawahi kuwa waziri wa mazingira pia 2020.
 
Back
Top Bottom