Mwenye CV ya Spika (Mussa Zungu)

Mwenye CV ya Spika (Mussa Zungu)

Cv yake itawekwa public maana ni mkuu wa mhimili.wa bunge. Ila ukianglia sana awamu ya sita wengi wana elimu ya kuungaunga nyaya au hawana kabisa lakini wanaandika ma dr. Dr shariff majini
 
Tukiendelea kumpongeza Mheshimiwa Dr Musa Azzan Zungu. Naomba mwenye CV yake aiweke hapa kwa manufaa ya wengi.

Asante

Pascal Mayalla
1)RAIA FEKI WA TANZANIA
2)MUUZA NGADA
3)MFURAJI MASHUHURI MJINI DAR ES SALAAM
4)MISSION ROSTAM AZIZI
5)DALALI WA KUIUZA TANGANYIKA KWA WAARABU.
 
TZ kila mtu ni TISS hata waokota makopo barabarani ni TISS usiwaone vile wapo kazini pale 😁

Nini cha maana TISS wamewahi kufanya toka kuanzishwa kwao?
KUNA SEHEMU WANAFANYA KAZI YAO vizuri sana ila wanasiasa wana nguvu zaidi kwa sababu mwisho wao ni kushauri kwa mkubwa tu period, Mbona enzi ya Magu walikuwa wanakamata matukio balaaaa
 
du mbona hii kama chuki binafsi
Akili yako inanuka maziwa uwezi kuielewa dunia ilipo wala inapo kwenda ....kwanza neno chuki siyo kosa hata mungu ana chuki na dhambi .....kinacho takiwa ni chuki ya haki siyo chuki dhidi ya haki ....zungu ni muhalifu mafia toka zamani....wapo pamoja na Rostam azizi dhidi ya wabantu na watanganyika ...ukuona ule wimbo zungu akiwaimbisha watu kuwa atawaua watanganyika?
 
Hawa wazee wa kijiwe cha Saigon Kariakoo Dar es Salaam ndiyo zao hizo kutishia wakuja.
Kinachonishangaza Mimi muhaya wa Kagera anaukataa uraia qa MTU wa pwani wakati wazee wake wapi Zaidi ya Miaka 200 nyuma. Harakati za Uhuru zilifanywa na watu wa pwani na wachache wengine kutoka bara. Hivi Leo mchaga ana haki gani ya kuwa na wasi wasi na uraia qa MTU wa Dar mtwa wakati Chief wao aliandika barua tusipewe uhuru
 
Yeye mwenyewe wakati anaapa alimalizia na Zungu.Kwani Zungu ni jina lake rasmi.?Huyu Zungu ana matatizo ya akili.
Kama Zungu amefuata utaratibu unaotakiwa kisheria katika kutumia jina hilo, basi sioni kama kuna kosa.
Iwapo Baba Levo naye anataka kulitumia jina hilo, si vibaya akafuata taratibu hizo hizo tulizojiwekea kisheria.
Ni muhimu kukumbuka kwamba Bungeni si kijiweni; ni taasisi inayozingatia sheria, kanuni, na taratibu za kibunge.
 
Huyo tiss,ukiangalia kufanya kazi jeshini,akatupwa kwenye ubaharia,halafu mara mwenyekiti wa bunge,naibu spika,mara nyingi tu,na leo spika..hiyo trend haiji tu
Chawa wa mamlaka. Nimeona kwenye bunge la Kenya wanatetea haki za binadamu wote wa Kenya na Tanzania.

Fair trial, habeas corpus, cruelty against inhumanely treatment or degrading punishment, mtu lazima aletwe mahakamani, culture of imputinity iondolewe, freedom from torture, incarceration without due process, kupotezwa bila maelezo, with passion. Hapa unatetea upuuzi huu wote.

Muhimu vituo vya polisi, mahakama kuwa na kamera kama Kenya.

View: https://youtu.be/A1xJiyqXNUI?si=9eXjZ82APjT2gxsv
 
Kama Zungu amefuata utaratibu unaotakiwa kisheria katika kutumia jina hilo, basi sioni kama kuna kosa.
Iwapo Baba Levo naye anataka kulitumia jina hilo, si vibaya akafuata taratibu hizo hizo tulizojiwekea kisheria.
Ni muhimu kukumbuka kwamba Bungeni si kijiweni; ni taasisi inayozingatia sheria, kanuni, na taratibu za kibunge.
Baba Levo alisharasimisha jina la Baba Levo mahakamani .
 
Back
Top Bottom