Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,907
- 1,081
Wana jukwaa,
Leo ndio siku mwenge ulitinga katika mji wa Bukoba. Moja ya miradi iliyoibuliwa na mwenge ni jengo la kibiashara la gorofa mbili linalomilikiwa na mfanya biashara ambaye ni mwenyeji wa Kagera lakini akiishi Dar anayejulikana kama Lwabizi.
Awali mahali palipojengwa jengo hili palikuwa na jengo la kawaida ambalo lilikuwa na hotel ndani yake. Tangu Mwanzoni mwa mwaka huu mmiliki wa jengo hilo alilivunja jengo la awali na kuanza kujenga jengo hili.
Leo jengo limezinduliwa na Mwenge kama moja ya miradi ya maendeleo inayozinduliwa na Mwenge, ambapo katika tafrani hiyo barabara zinazopita jirani na jengo hilo zilifungwa kwa dakika 45. Shida ni kwamba hakukuwa na taarifa ya ujio wa hafla kubwa hii, kiasi kwamba wengi wa madreva walisikika wakilalamika kuvunjiwa ratiba zao za kazi.
Hapa mgombea ubunge kwa
tiketi ya Chadema Mr Lwakatare
akitoa nasaha zake.
Jengo likifunguliwa
Picha nne hizo juu zikionyesha
traffic jam wakati wa hafla hii
Leo ndio siku mwenge ulitinga katika mji wa Bukoba. Moja ya miradi iliyoibuliwa na mwenge ni jengo la kibiashara la gorofa mbili linalomilikiwa na mfanya biashara ambaye ni mwenyeji wa Kagera lakini akiishi Dar anayejulikana kama Lwabizi.
Awali mahali palipojengwa jengo hili palikuwa na jengo la kawaida ambalo lilikuwa na hotel ndani yake. Tangu Mwanzoni mwa mwaka huu mmiliki wa jengo hilo alilivunja jengo la awali na kuanza kujenga jengo hili.
Leo jengo limezinduliwa na Mwenge kama moja ya miradi ya maendeleo inayozinduliwa na Mwenge, ambapo katika tafrani hiyo barabara zinazopita jirani na jengo hilo zilifungwa kwa dakika 45. Shida ni kwamba hakukuwa na taarifa ya ujio wa hafla kubwa hii, kiasi kwamba wengi wa madreva walisikika wakilalamika kuvunjiwa ratiba zao za kazi.
Hapa mgombea ubunge kwa
tiketi ya Chadema Mr Lwakatare
akitoa nasaha zake.
Jengo likifunguliwa
Picha nne hizo juu zikionyesha
traffic jam wakati wa hafla hii