Nini faida ya matuta?? Kipindi inajengwa au kwenye mchoro matuta yalkuwepo??Morogoro road ndio usiseme. Matuta mataa kila baada ya hatua 10.
Ni kweli, but kiuhalisia uturn zafanyika as we type na zitaendelea,Je usalama upoje,au nini kifanyike?U-turn barabara kubwa kama hio sio salama. Inabidi utoke nje ya barabara ndio urudi ulipotoka.
Ni kweli,ila mind you tunazungumzia sehemu zingine pia,Je ziko convenient kama hapo Petrol station?Kama unataka kwenda NBC, unapaswa kuingia njia ya kwenda rainbow, geuza petrol station ya Puma (zamani Bp) alafu rudi tena barabara ya kuelekea mwenge.
Mmekatazwa kupiga u turn sababu barabara ni ndogo sana...gari ikiwa kubwa kidogo inaweza kushindwa ku negotiate ile kona
Mkuu umenena.Yote yaliyosemwa yana ukweli mtupu. Na wahandisi wetu ndio wa kulaumiwa kwa sababu walikuwa wanahudhuria vikao na waliona udhaifu wa upembuzi yakinifu wa barabara hii. Hasa kutokuwa na njia za kuchepukia pamoja na barabara za pembeni (service road). Vilevile ukisema uweke taa za kuongoza magari itakuwa kichekesho kwani ambao hawachepuki watakaa kwenye foleni muda mrefu. Barabara za pembeni zinatakiwa mwanzo mwisho na sio kisehemu kimoja tu! Upana wa hizo service road uongezwe magari yapishane kwa usalama. Makalavati yapanuliwe sehemu zote maji yanapopita juu ya barabara. Taa za barabarani nazo ni muhimu sio kuweka mabomba ya mabango!
Ni kweli, but kiuhalisia uturn zafanyika as we type na zitaendelea,Je usalama upoje,au nini kifanyike?
Kuna Lane Ile sijui inaitwaje huwa inaongezwa pembeni hivi mtu anaekata kona aingie bila kuathiri wanaondelea mbele..
Kwa kweli inasikitisha sana kuhusu mtaalamu aliye chora na kupitisha ramani ya barabara inayoanzia mwenge mpaka Tegeta. Wengi wa watumiaji tunapata taabu sana tunapotaka kuingia barabara za pembezoni.
Mara nyingi tumejikuta tukiwa katika hatari ya kugongwa kwa nyuma ya magari yetu kwa ukosefu wa maeneo ya kuwapisha wenzetu wanaotakiwa kwenda moja kwa moja.
Mfano mzuri ni pale Tangi Bovu kama unatoka mjini na unataka kuingia upande wa kulia yaani Ally Sykes road au anayetoka barabara hiyo na kutaka kuelekea Tegeta wote hao wanakuwa katika hatari ya kupata ajali.
Tunaomba mamlaka husika kabla ya kuipokea barabara hii watoe ushauri na maagizo ya kufanyiwa marekebisho sehemu zote hizo ili ionekane tuna wataalamu wanaojenga barabara za karne hii.
Mkalifya umenikumbusha mbali I'd yako imetuliaKwa kweli inasikitisha sana kuhusu mtaalamu aliye chora na kupitisha ramani ya barabara inayoanzia mwenge mpaka Tegeta. Wengi wa watumiaji tunapata taabu sana tunapotaka kuingia barabara za pembezoni.
Mara nyingi tumejikuta tukiwa katika hatari ya kugongwa kwa nyuma ya magari yetu kwa ukosefu wa maeneo ya kuwapisha wenzetu wanaotakiwa kwenda moja kwa moja.
Mfano mzuri ni pale Tangi Bovu kama unatoka mjini na unataka kuingia upande wa kulia yaani Ally Sykes road au anayetoka barabara hiyo na kutaka kuelekea Tegeta wote hao wanakuwa katika hatari ya kupata ajali.
Tunaomba mamlaka husika kabla ya kuipokea barabara hii watoe ushauri na maagizo ya kufanyiwa marekebisho sehemu zote hizo ili ionekane tuna wataalamu wanaojenga barabara za karne hii.
Nimekuelewa sana ndugu. Na Sio kilometa 3 tu unaweza kwenda hadi kilometa tano na kwako unapaona pale lakini lazima uzunguke ndio uweze kuingia mtaa wako. Sasa wa tz Kila kona mtu anataka aingie apendavyo yeye. Watu wanashindwa kutofautishga high ways na barabara za mitaani. Serikali itilie mkazo watu wakasome udereva na sheria za barabarani
Kama unatoka mjini, ukifika Africana huo mchepuo unaokuwezesha kufanya right turn unaitwa "deceleration lane" sio acc***Inaitwa "Acceleration lane". Kwenye hii barabara ya Mwenge -Tegeta nadhani nimeziona mbili tu, pale junction ya Africana na inapoishia barabara kule Tegeta.
Kweli. Good point.Kama unatoka mjini, ukifika Africana huo mchepuo unaokuwezesha kufanya right turn unaitwa "deceleration lane" sio acc***