Mwendokasi imetuletea Taabu Ya Usafiri

Leo nilipanda mwendo kasi pale Avalone mchana ya saa saba nikiwa na mpango nishuke fire and then nielekee kariakoo.. Matokeo yake kila likija bus limejaa balaa nikaona isiwe taabu nipande la kwenda kivukoni nigeuze nalo mziki ukawa dereva kafika ferry and kalipaki pembeni akashuka hapo tukabakia tumeduwaa muda ukazidi ikabidi tushuke wenyewe mlango Wa dereva mbele kushoto... Tukaingia bus lingine likaganda hapo kama hadi lika jaa jaa dereva akaingia sikustuka kama nalo dereva alishuka dah... Likaondoka nikafika jangwani nikashuka maana pale fire kulikuwa na nyomi... Nikapanda la gerezani limejaa hatari hewa ni shida kupumua pale fire napo likapakia for sure lilijaza kupiga Maelezo nilifika msimbazi sina hamu tena na mwendo kasi town to kariakoo nilitumia daki ka 45!!!!
umesaahauuu weziwamifukoniii tenaaa mabintiii kabisaaa wazuriii usiniulize zaidi
 
Yaani juzi nilipanda mwendo kasi asee yale ni mateso sasa. Kwanza tuligombania kuingia kama dala dala tuu, halafu watu wana jaa sana.
Halafu inaonekana wana yazungusha mabasi machache may be wana taka ku save mafuta.
Ila nadhani badala ya kupunguza adha ya usafiri wameiongeza
Ahahaaa pole sana. Apo kny kugombaniana unafika home una makovu kila mahali.
Kuna siku nlipanda k/koo to ubungo nilijuta. Sipandi tena hayo madude
 
Huko kwenye mwendo kasi kama kwenye management kuna wahindi basi ni sawa haya matatizo kutokea maana watahakikisha gharama za uendeshaji zinapungua kwa gharama zozote zile.
Kama ni mzungu hajapa ushauri
 
Makovu oi... Chumvi umezidisha na mboga imeungua... Hiki kilio kikifika kwa mzee Wa magogoni jibu lake halitatofautiana na lile la kivuko... Mpige mbizi....
 
Ahahaaa pole sana. Apo kny kugombaniana unafika home una makovu kila mahali.
Kuna siku nlipanda k/koo to ubungo nilijuta. Sipandi tena hayo madude
Ahsante pole nawe
Kwa hiyo na wewe huwa una avoid possibilitu yoyte ya kupanda mwendo kasi eeh!?
 
Leo nilipanda mwendo kasi pale Avalone mchana ya saa saba nikiwa na mpango nishuke fire and then nielekee kariakoo.. Matokeo yake kila likija bus limejaa balaa nikaona isiwe taabu nipande la kwenda kivukoni nigeuze nalo mziki ukawa dereva kafika ferry and kalipaki pembeni akashuka hapo tukabakia tumeduwaa muda ukazidi ikabidi tushuke wenyewe mlango Wa dereva mbele kushoto... Tukaingia bus lingine likaganda hapo kama hadi lika jaa jaa dereva akaingia sikustuka kama nalo dereva alishuka dah... Likaondoka nikafika jangwani nikashuka maana pale fire kulikuwa na nyomi... Nikapanda la gerezani limejaa hatari hewa ni shida kupumua pale fire napo likapakia for sure lilijaza kupiga Maelezo nilifika msimbazi sina hamu tena na mwendo kasi town to kariakoo nilitumia daki ka 45!!!!
Yaani ukitaka kuchelewa siku hizi panda mwendokasi!
 
Leo nilipanda mwendo kasi pale Avalone mchana ya saa saba nikiwa na mpango nishuke fire and then nielekee kariakoo.. Matokeo yake kila likija bus limejaa balaa nikaona isiwe taabu nipande la kwenda kivukoni nigeuze nalo mziki ukawa dereva kafika ferry and kalipaki pembeni akashuka hapo tukabakia tumeduwaa muda ukazidi ikabidi tushuke wenyewe mlango Wa dereva mbele kushoto... Tukaingia bus lingine likaganda hapo kama hadi lika jaa jaa dereva akaingia sikustuka kama nalo dereva alishuka dah... Likaondoka nikafika jangwani nikashuka maana pale fire kulikuwa na nyomi... Nikapanda la gerezani limejaa hatari hewa ni shida kupumua pale fire napo likapakia for sure lilijaza kupiga Maelezo nilifika msimbazi sina hamu tena na mwendo kasi town to kariakoo nilitumia daki ka 45!!!!
Kwa hali hii Bodaboda inabaki kuwa usafiri Wa haraka kabisa hapa mjini japo si salama sana!
Chanzo cha Matatizo yote ni Sumatra kulazimisha nauli ya 650 kiasi kwamba hata ku break even imekuwa Shida
 
Makovu oi... Chumvi umezidisha na mboga imeungua... Hiki kilio kikifika kwa mzee Wa magogoni jibu lake halitatofautiana na lile la kivuko... Mpige mbizi....
Nilshuhudia mtu akikanyagwa mlangoni baada ya kujikwaa alipokwa akigombea kuingia. Nadhani alipata makovu na maumivu ya kutosha. Mwingine nasikia alivunjika mguu baada ya mguu wake ku miss kale ka ngazi ka kuingilia mlangoni.
Mwendokasi ni shida ikifika mida fulani hivi.
Kwa sasa mwendokas ni bomu.
 
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
 
Jana nimekaa pale DIT saa nzima kuanzia saa mbili unusu jioni hadi Tatu unusu nasubiri usafiri hadi kero. Nilichukia sana saa nzima kukaa kituoni!
 
[HASHTAG]#USIFANYEMAKOSATENA2020[/HASHTAG]
[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
 
Kwa kweli nimejuta kupanda hii mibasi...bora niende mawasiliano nipande basi za makumbusho harafu za posta au za steshen kuliko hii adha ya hii mibasi ya isiyo na hewa kwa kubanana na miharufu ya jasho
 
Kuna siku yatatutoa sadaka jana mida ya jioni kama saa mbili ivi nimepata gari pale fery baada ya kulisubiri kama lisaa na nusu ivi watu kibao hakuna hewa magari yana joto mpaka mtu unakosa hewa Nzuri , matokeo yake gari limefika kituo Cha Fire tunataka kuvuka mataa kuelekea jangwani Gari likazima lenyewe. Japo liliwaka ila lile joto la mule na lile shazi kwa kweli mtatufanya tupeane magonjwa ya hewa
 
Ni kweli kabisa Bora tungebaki na daladala zetu zilikua zinakidhi mahitaji.kwenye mwendo kasi tunakuwepo na sio kukaa tunapangwa kama ngombe.kabisa.Hii tumelazimishwa .
 
Jana nimekaa pale DIT saa nzima kuanzia saa mbili unusu jioni hadi Tatu unusu nasubiri usafiri hadi kero. Nilichukia sana saa nzima kukaa kituoni!
Mbn kwa mwendokasi kawaida,yaani ukitaka kupanda jiandae kisaikolojia kbs
 
Vumilieni tu, serikali inawapenda nauli 650/-. Mkitaka yawe kama inavyotakiwa nauli itabidii iwe 1200/-.
 
Tatizo la huu usafiri wa Mwendokasi ni biashara badala ya Huduma ya Umma kama nchi za wenzetu.
Huduma serikali inabidi ichangie lakini wao wamepunguza nauli badala ya kuchangia.
 
Wanaudhi sana kuanzia mabasi uongozi, serikali na sumatra kwa mwenendo wa haya mabasi


Yamekua kero si kidogo sijui hawaoni au ni upuuzi tu wa umangi meza
 
Back
Top Bottom