Mwendokasi hali ni mbaya sana

Mwendokasi hali ni mbaya sana

Tunaomba serikali iruhusu mabasi kwenye DART Mwendokasi ili kunusuru hali hii. Kituoni 2hrs na basi zimejaza balaa ni hatari, tunabana sana.

Ombi langu waziri wa tamisemi na naibu wake na katibu mkuu waje wapande Atleast once jioni au asubuhi, sababu wanapita kwenye V8 za milioni 500 kwenye barabara hizi kwahiyo hawawezi kujua tunayopitia kwakweli. Shame.
Jamani Mimi sikohuko. Ila nakumbuka mliletewa izo mwendokasi Ili kupunguza msongamani. Swali langu vipi bado hatujafikia lengo au tulishavuka lengo. Serikari inatengeneza tatizo, zen inataka iombwe msaada wa kutatua tatzo walilotengeneza wao kama ulivofanya mtoa mada. Na wakirekebsha wasifiwe. Why ? Bcoz wanawaongoza waafrika. Semi animal man. Kazi iendelee, yaani hapa kazi kazi tu, adi tuzisome namba. Zikiisha ndo akili itatukaa sawa.
NAICHUKIA CCM HAKUNA MFANOE
 
WAARABU tusaidienii ndugu zetu mwendokasi unakufaaaa tunawapa mradii bureeeee waafrika wanaibaa sanaaa... hata BOT mkiitaka tutawapaa jamanii.
Kimasihara mkuu 😁😁😁
 
Sisi wezi ndo tunapenda kama pale msimbazi ukosi sim na poch zenye ela nzuri naomba viongozi msitatue ttzo ilo cc tutakula wap
 
Hivi hakuna ndugu wa dp world akauchukua huo mradi auendeshe
Maana sisi tushafeli kitambo sana

Ova
 
Tunaomba serikali iruhusu mabasi kwenye DART Mwendokasi ili kunusuru hali hii. Kituoni 2hrs na basi zimejaza balaa ni hatari, tunabana sana.

Ombi langu waziri wa tamisemi na naibu wake na katibu mkuu waje wapande Atleast once jioni au asubuhi, sababu wanapita kwenye V8 za milioni 500 kwenye barabara hizi kwahiyo hawawezi kujua tunayopitia kwakweli. Shame.
Ikitokea serikali imebinafsisha brt kuna watu watatokea na kuanza kutukana viongozi,wabongo tumeshindwa kujiendesha acha tuje kufundishwa namna watu wanavyowajibika,baada ya bandari kupewa mwarabu naomba sana atcl na mwendokasi wapewe watu wengine waziendeshe
 
Sisi tunaopanda mbezi, kila siku tunajua mida yenye watu wengi na muda yenye watu wachache, ni kweli kuanzia saa moja hadi saa tatu asubuhi, na kuanzia saa tisa na nusu hadi 12 hivi watu ni wengi ila muda wa kati hapo watu ni wachache, foleni mnazoona ni za watu wanaotaka siti. Utaratibu upo hivi ukitaka siti una panga foleni, siti zikijaa wanaotaka kusimama ili wawahi ndio wanaopanda wawahi foleni mnazoona ni watu hawataki kusimama
Shida bus azipiti kwa muda,wewe wa mbezi umepata bahati hiyo,vituo vya kati mtu anakaa hadi saa nzima au masaa mawili bila kupata usafiri
 
Halafu wanakataa tusibaguliwe.

Ni kuwekwa sharia tu ndiyo dawa.

Waambie wakaibe Saudi Arabia. Si wapo Watsnzania huko, heshima na adabu.
Sisi tunachojua ni kukatika mauno tu

We weka tamasha la wazi watu waje wakate mauno

Ova
 
Tunaomba serikali iruhusu mabasi kwenye DART Mwendokasi ili kunusuru hali hii. Kituoni 2hrs na basi zimejaza balaa ni hatari, tunabana sana.

Ombi langu waziri wa tamisemi na naibu wake na katibu mkuu waje wapande Atleast once jioni au asubuhi, sababu wanapita kwenye V8 za milioni 500 kwenye barabara hizi kwahiyo hawawezi kujua tunayopitia kwakweli. Shame.
Kwanini tusiwauzie waarabu wa Dubai wale jamaa wa bandari
 
Acha undezi, watu milioni 6 waliopo Dar wote wanunue magari inawezekana??
Itawezekana kwa sababu miundo mbinu itakua inapanuliwa kadri magari yanavyozidi.

Maana bongo tumezoa kujenga na kubomoa hata kama ni miradi ya ma billion.

So wewe nunua tu hilo gari, usihofu kuhusu miundo mbinu.
 
Hizo basi ni upumbavu sana. Mtu anayepewa mradi apangiwe gari za kuwa nazo na schedule ya gari kupita. Kama gari inapita kila baada ya dk tano au kumi. Akishindwa kutimiza vigezo hivyo apigwe chini. Lazima tujifunze kwenda kama watu.
 
Back
Top Bottom