Mwendokasi hali ni mbaya sana

Mwendokasi hali ni mbaya sana

Abiria wanaotokea Mbezi ndio wanaopata shida ya usafiri kwenda City Center.
Sisi tunaopanda mbezi, kila siku tunajua mida yenye watu wengi na muda yenye watu wachache, ni kweli kuanzia saa moja hadi saa tatu asubuhi, na kuanzia saa tisa na nusu hadi 12 hivi watu ni wengi ila muda wa kati hapo watu ni wachache, foleni mnazoona ni za watu wanaotaka siti. Utaratibu upo hivi ukitaka siti una panga foleni, siti zikijaa wanaotaka kusimama ili wawahi ndio wanaopanda wawahi foleni mnazoona ni watu hawataki kusimama
 
Tunaomba serikali iruhusu mabasi kwenye DART Mwendokasi ili kunusuru hali hii. Kituoni 2hrs na basi zimejaza balaaa ni hatari. Tunabanana sana.

Ombi langu waziri wa tamisemi na naibu wake na katibu mkuu waje wapande Atleast once jioni au asubuhi. Cause wanapita kwenye V8 za 500Million kwenye barabara hizi so hawawezi kujua tunayopitia kwakweli. Shame
Waarabu hawajaona fursa hii? Wauziwe
 
Ni upuuzi mtu, sio msaada tena, ni kero.. hapa kati kulikuwa na mzigo nautuma mkoani, gari inaondoka saa 2:30 saa 1 na dk zake nipo kivukoni.. nimekaa wee gari inakuja saa 2 kamili.. mpaka nafika mapipa tayari saa 2:20, ikabidi nishuke nichukue bodaboda, tukapiga fimbo, nafika shekilango 2:27 ndio pona pona yangu.

Washakuwa miungu watu nao.
 
Ni upuuzi mtu, sio msaada tena, ni kero.. hapa kati kulikuwa na mzigo nautuma mkoani, gari inaondoka saa 2:30 saa 1 na dk zake nipo kivukoni.. nimekaa wee gari inakuja saa 2 kamili.. mpaka nafika mapipa tayari saa 2:20, ikabidi nishuke nichukue bodaboda, tukapiga fimbo, nafika shekilango 2:27 ndio pona pona yangu.

Washakuwa miungu watu nao.
Haha ulichukua chopa
 
Tunaomba serikali iruhusu mabasi kwenye DART Mwendokasi ili kunusuru hali hii. Kituoni 2hrs na basi zimejaza balaaa ni hatari. Tunabanana sana.

Ombi langu waziri wa tamisemi na naibu wake na katibu mkuu waje wapande Atleast once jioni au asubuhi. Cause wanapita kwenye V8 za 500Million kwenye barabara hizi so hawawezi kujua tunayopitia kwakweli. Shame
Wapewe Dubai Bus watuendeshee shirika hilo.

Sisi tunachofahamu ni wizi, kulewa na kucheza ngoma tu.
 
DP World waingilie kati
Dubai bus mpaka vituo vyao ni air-conditioned.

1686681365649.png
 
Tunaomba serikali iruhusu mabasi kwenye DART Mwendokasi ili kunusuru hali hii. Kituoni 2hrs na basi zimejaza balaaa ni hatari. Tunabanana sana.

Ombi langu waziri wa tamisemi na naibu wake na katibu mkuu waje wapande Atleast once jioni au asubuhi. Cause wanapita kwenye V8 za 500Million kwenye barabara hizi so hawawezi kujua tunayopitia kwakweli. Shame
Serikali za kiafrika hawezi biashara wamezoea kuongezea 0 mbele wajaze mifuko
 
Tunaomba serikali iruhusu mabasi kwenye DART Mwendokasi ili kunusuru hali hii. Kituoni 2hrs na basi zimejaza balaaa ni hatari. Tunabanana sana

Ombi langu waziri wa tamisemi na naibu wake na katibu mkuu waje wapande Atleast once jioni au asubuhi. Cause wanapita kwenye V8 za 500Million kwenye barabara hizi so hawawezi kujua tunayopitia kwakweli. Shame
Hali ni mbaya mno. Kiukweli
 
Wawekezaji wenye mitaji mikubwa wanahitajika sana, katika kutatua hii kero
 
Huko kimara nasikia kushikana hukusisimui tena demu wa kimara shida zao wanamalizia huko mwendo kasi wanapenda kukaa mlangoni ili washikwe vizuri na kukumbatiwa gari ina nafasi ndani lakini milango haifungi
 
Back
Top Bottom