Mwendokasi hali ni mbaya sana

Mwendokasi hali ni mbaya sana

Imagine mtu Ana kitambi Kama Cha komba na anastruggle kukubambia . That's bullshit
Hahahaha!. You would have referred to someone else than him please!. 🤣🤣🤣🤣

So, it would have been okay ubambiwe na asiye na kitambi? 🤣.
 
Tunaomba serikali iruhusu mabasi kwenye DART Mwendokasi ili kunusuru hali hii. Kituoni 2hrs na basi zimejaza balaa ni hatari, tunabana sana.

Ombi langu waziri wa tamisemi na naibu wake na katibu mkuu waje wapande Atleast once jioni au asubuhi, sababu wanapita kwenye V8 za milioni 500 kwenye barabara hizi kwahiyo hawawezi kujua tunayopitia kwakweli. Shame.
Watapanda 2025 endelea kusubir mkuu,kwasasa chagua kuacha kutumia ama endelea kupambana na izo changamoto km huna mbadala wake
 
Napendeka apewe mtu binafsi mzawa kama hawa kina SUPERFEO, ABOOD, SHIBIBY au BM kwa uzoefu wao wa ma bus najua hawaez shindwa hii kazi....

Ishu simpo watu wanabwela sijui kwann ukishapata kaz serikalin akilj zako nazo zinalala
 
Tunaomba serikali iruhusu mabasi kwenye DART Mwendokasi ili kunusuru hali hii. Kituoni 2hrs na basi zimejaza balaa ni hatari, tunabana sana.

Ombi langu waziri wa tamisemi na naibu wake na katibu mkuu waje wapande Atleast once jioni au asubuhi, sababu wanapita kwenye V8 za milioni 500 kwenye barabara hizi kwahiyo hawawezi kujua tunayopitia kwakweli. Shame.
Usipande mwendo kasi wenzio tumeshaachana na huo upumbavu.

Kuna bajaj na kuna daladala za kawaida pia.

Najua utasema hakuna gari njia hiyo kueleka mjini ila gari zipo labda kama ww haujaamua tu.

Kuna daladala zinatoka mbezi kwenda mnazi mmoja kupitia njia ya maji chumvi mpka external kisha mabibo mwisho na kuendelea kupitia njia hiyo tena hakuna folen kabisa .
 
Back
Top Bottom