Nendeni mkadai pesa zenu mpande usafiri mwingne msiwe Kama wajingaWadau ,,tuko kituo cha msimbazi kwa watu wanakwenda Mbezi ..Tumekaa kama masala 2 hakuna basi linasimama hapa na kunawatu kama 300,,Sijui kwanini serikali instead watu wake hivi? Wanafurahia nin
Kwa msimbazi na usiku huu mixer mvua za leo sifhani kama abiria wana option zaidi ya kutesekaNendeni mkadai pesa zenu mpande usafiri mwingne msiwe Kama wajinga
Au KUENDESHA💩Mubongo kitu anaweza endesha kwa ufanisi ni wizi na porojo za mipira.
Hata huko bado, huoni vyoo vya uma vilivyo na hali mbaya😂Au KUENDESHA💩
Usisahsu na Wizi wa Kura. The Government is essentially very smart when it comes to vote-riggingMubongo kitu anaweza endesha kwa ufanisi ni wizi na porojo za mipira.
Na kweli watakapo kusoma sina shaka watakubaliana na wewe asili mia kwa mia.huo mradi wapewe DP world tu 😄
Nilitaman hawa mawaziri nao wapende huo usafi ili waone adha ya watu wanaopataWadau ,,tuko kituo cha msimbazi kwa watu wanakwenda Mbezi ..Tumekaa kama masala 2 hakuna basi linasimama hapa na kunawatu kama 300,,Sijui kwanini serikali instead watu wake hivi? Wanafurahia nin
Unavyo kuwa na raisi asiwezi kusimamia kil kitu halafu anataka tumheshima ni janga kwa kweliKiukweli mwendo Kasi ni tatizo kubwa sana kwa Sasa kwenye usafiri hapa dar es salaam. Badala ya kupunguza changamoto za usafiri hii mwendo Kasi imeongeza changamoto.
Ninachokiona pale ni kukosa usimamizi madhubiti na kuogopana tu. Madhira makubwa yanaenda kwa watumiaji ambao hawana mbadala na kama mbadala upo basi ni mgumu zaidi kwaiyo mtanzania anateseka na Kodi yake.
Wao wapo kwenye V8 hawawezi kuelewa keto zetu.