Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,933
Kikwete jeuri yote imepotea, angalia mhemo alio nao si wa kawaida.
Aliyefungua kesi hiyo kutoka kituo cha haki za binadamu nchini ni Mwanamke na huyo Mwendesha mashtaka kutoka huko ni Mwanamke pia naona ngoma nzito kwa Kiwete, makoti yanaanza kupwaya.
Eeh, huyu jamaa sidhani kama kasomea sheria kweli, maana hata kutoa argument hajui-Kwa hiyo moja kati ya majukumu yake ni kutembelea nchi na kusalimia mara tu baada ya kuteuliwa!?
Malaika Israeli mtoa roho kaja kumsalimia binadamu... alafu binadamu huyo anajisifu kupata 'mgeni mwema'...
Subirini akirudi kwao akadiscuss na vimalaika vyake, then kaz mtaisikia...
Kwa JK every thing is possible!Mwanasheria mkuu wa Serikali!!!!!!!!!!!!!!,hivi alipaswa kupewa nafasi hii kweli?
Alikuja kumsalimia.
Eeh, huyu jamaa sidhani kama kasomea sheria kweli, maana hata kutoa argument hajui-Kwa hiyo moja kati ya majukumu yake ni kutembelea nchi na kusalimia mara tu baada ya kuteuliwa!?
Hapa kwa hisia zangu kuna mawili. Mosi, huyo mama wamemtuma wazungu kuongea na Kikwete kuhusu kuhamishia kesi ya wa Kenya kuwa iwe inafanyikia Arusha badala ya the Hague, wanajiandaa incase Uhuru anashinda kwenda Ulaya kuhudhuria kesi itakuwa ni mbali sana na Arusha itakuwa rahisi kwani anaenda mahakamani asubuhi, Mchana anarudi Ikulu Nairobi. Wazungu ni wanafiki sana wanamaslahi yao Kenya hivyo hawaweizi kuiwekea Kenya vikwazo hivyo wanatafuta namna ya kuishi na "Shetani. Mind you Mwaikibaki was there just few days ago.
Pili ndiyo hili mnalolisema wenzangu kuwa wamemtuma kuongea na Kikwete kuhusu madai yaliyotumwa na kituo cha Sheria na haki za binadamu. Lets wait and see