Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,963
anasubiri Hotuba ya mwezi Machi...hahahhahaaa
kwani mzee wa kaya hajafunguka tu kuhusu ugeni huo?
kwani mzee wa kaya hajafunguka tu kuhusu ugeni huo?
Wawe wanatoa taarifa bhana,hiz ziara za ghafla mtajamuua jk wetu na pressure bure
Unadhani kufika tha hegi ni lazima mauaji ya kimbari?, na wewe unaamini blabla za werema kuwa Bensouda amekuja kusalimia nyumbani, hivi ni mtanzania?, Mataifa ya magharibi hawafumbii macho ukiukwaji wa haki za binadamu hata katika nchi wanazonufaika nazo. Sio kama China.Wabongo bana,
Haendi mtu yeyote Netherlands!
Kwenye scale ya Gross human right abuse Africa achalia mbali duniani, Tanzania bado ni maraika na kikubwa zaidi, nchi na makampuni ya wakubwa wa magharibi yanapata kila kile wakitakacho (exploitative investment).
Kushangilia ni kama kupiga ngoma isiyokuwa na wachezaji
Malaika Israeli mtoa roho kaja kumsalimia binadamu... alafu binadamu huyo anajisifu kupata 'mgeni mwema'...
Subirini akirudi kwao akadiscuss na vimalaika vyake, then kaz mtaisikia...
Amekuja kusalimia?!
Mkapa kupiga risasi wapemba haimhalalishii kikwete, na kama unadhani ICC haiwezi kusaidia, toa pendekezo nini kifanyike, kuponda tu CHADEMA na kubeza ICC haisadii ni bora kukaa kimya.Chadema kama kawaida yao wanaendelea kujiliwaza na kujifariji.
Hivi Chadema mnaamini mabadiliko yataletwa na ICC.
Kuna rais Tanzania kauwa kama Benjamini Mkapa piga risasi wapemba kwenye maandamo ICC wamefanya nini mpaka leo, Museveni, Kagame, Kabila, Kibaki, Mugabe, ICC wamefanya nini. Miafrika bana.
Hivi china na Tanzania, ipi nchi inayoongoza kwa ukandamizaji wa haki za binadamu. Umeisha sikia wanasema kuhusu Viongozi wa china kupelekwa Holand ili wakashitakiwe?. Hili ndiyo litakupa mwanga wa nini ninachokisema.Unadhani kufika tha hegi ni lazima mauaji ya kimbari?, na wewe unaamini blabla za werema kuwa Bensouda amekuja kusalimia nyumbani, hivi ni mtanzania?, Mataifa ya magharibi hawafumbii macho ukiukwaji wa haki za binadamu hata katika nchi wanazonufaika nazo. Sio kama China.
Kutoshtakiwa kwa viongozi wa china sio sababu nzuri ya kutetea ukiukwaji wa haki za binadamu Tanzania. Ninaamini unajua kuwa kuna nchi wanachama na wasio wanachama wa mahakama hii, hii ni suala la msingi kulijua ili kuepusha propaganda mbaya kwamba mahakama hii inaonea africa.Hivi china na Tanzania, ipi nchi inayoongoza kwa ukandamizaji wa haki za binadamu. Umeisha sikia wanasema kuhusu Viongozi wa china kupelekwa Holand ili wakashitakiwe?. Hili ndiyo litakupa mwanga wa nini ninachokisema.
Wabongo bana,
Haendi mtu yeyote Netherlands!
Kwenye scale ya Gross human right abuse Africa achalia mbali duniani, Tanzania bado ni maraika na kikubwa zaidi, nchi na makampuni ya wakubwa wa magharibi yanapata kila kile wakitakacho (exploitative investment).
Kushangilia ni kama kupiga ngoma isiyokuwa na wachezaji
.......
ICTR imashaanza kufungwa na wiki ijayo wanaanza ku-dismantle one of the court room. Kesi ambazo hazikuanza zimekuwa transferred Ufaransa na Rwanda, majaji walobaki ni wa rufani kwa ajili ya kusikiliza rufaa ambazo lazima ziwe over by mid-2014. Hivyo ICTR itafungwa rasmi 2014; Then tetesi kwamba alikuja kuangalia uwezekano wa kuwahamishia akina Uhuru si sahihi.
Sitetei ukiukwaji wa haki za binadamu ila ninasema hizo haki za binadamu kwa nini zina apply kwa nchi fulani tu na siyo dunia nzima kuonesha natural justice.Kutoshtakiwa kwa viongozi wa china sio sababu nzuri ya kutetea ukiukwaji wa haki za binadamu Tanzania. Ninaamini unajua kuwa kuna nchi wanachama na wasio wanachama wa mahakama hii, hii ni suala la msingi kulijua ili kuepusha propaganda mbaya kwamba mahakama hii inaonea africa.
Jana Rais Jakaya Kikwete alikutana na Bensouda na kufanya mazungumzo na baadaye walipiga picha za pamoja nje ya Viwanja vya Ikulu, akiwa pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema, Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angellah Kairuki na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Eliezer Feleshi.
Uwezekano mkubwa anafuatilia maombi ya kuhamisjia kesi ya Wakenya wanne Arusha. Haya mengine ni speculation isiyo na msingi na sijui kwa nini gazeti hili limeamua kuandika hivyo!