'Mwendazake' alipanda MBEGU za kujimaliza kwa mkono wake mwenyewe

Woga tupa kulee

JF-Expert Member
Sep 4, 2012
1,752
1,311
Ndio.

Kila nikitafakari uongozi wa mwendazake, ni kuwa alipanda MBEGU za kujimaliza mwenyewe na hatimae kifo chake.
Katika nchi yeyote, Kuna Mambo ambayo ni tunu za taifa Hilo.

Kwa Tanzania, umoja na mshikamano Kati ya makabila na dini na kada mbalimbali ni tunu ilio fanya taifa letu kusimama imara kwa miaka yote.

Kwa Kasi kubwa, mwendazake alitikisa misingi ya ushikamano na umoja wa taifa letu. Kauli za kibaguzi, mgawanyo wa miradi kiupendeleo na kuonea matajiri kulipanda sumu ambayo in long run ingeua taifa letu.

Ni funzo kubwa kwa watawala wote wajao
 
Hakika nakuambia laiti mngejua mbegu aliyopanda mwenda zake kwa watu wake muda umefika kwa tawala nyingi zijazo kuanguka kwa kasi kubwa naaamini katika muda muda utafika na utasema wameweza kumuua yeye mmoja ila hawajaweza kuua ideology yake kwa watu wake hata aliyepokea mkoba amewahi sana kujionyesha kua hakua anakubaliana na sera za mwenzake mapema hii kitu ambacho si heshima kwa mwenda zake naaam niamini mimi utawala ea babeli utaanguka tena
 
Hakika nakuambia laiti mngejua mbegu aliyopanda mwenda zake kwa watu wake muda umefika kwa tawala nyingi zijazo kuanguka kwa kasi kubwa naaamini katika muda muda utafika na utasema wameweza kumuua yeye mmoja ila hawajaweza kuua ideology yake kwa watu wake hata aliyepokea mkoba amewahi sana kujionyesha kua hakua anakubaliana na sera za mwenzake mapema hii kitu ambacho si heshima kwa mwenda zake naaam niamini mimi utawala ea babeli utaanguka tena
Acha vitisho vya kijinga. Kila kitu kina mwisho wake. Kama ni tawala dhalimu kuanguka hakuna mwenye tatizo na hilo, na tawala zenye baraka ya watu zitadumu.
 
Acha vitisho vya kijinga. Kila kitu kina mwisho wake. Kama ni tawala dhalimu kuanguka hakuna mwenye tatizo na hilo, na tawala zenye baraka ya watu zitadumu.
Huwezi kuniaminisha kwamba tawala ya mwendazake ilikua dhalimu wakati ilisomesha watoto wako bure,iliipaisha nchi kwenye uchumi wa kati,aliwapa wafanya kazi stahiki zao kwa wakati alijenga major project kwa pesa za ndani alikua sauti kwa wasio na sauti, alipambana na wala rushwa kwa maslahi mapana ya taifa niseme nini tena?

Utawala wa baraka upo wapi kama waliobaka katiba ni walewale rangi ya kijani Mungu alimtuma kazi moja tuu kwenye hii nchi kutufikisha nchi ya ahadi ambayo hata musa hakuiona
 
Lakini tuwe wakweli ile cycle nzima ya watu wake wakaribu walipata maambukizi. Hizi conspiracy theories ni kisingizio.
Isingewezekana kwa maraisi zaidi ya kumi kuja kumuaga kama issue ni covid19 na hakuna report hata waandishi wa kimataifa wa habari za uchunguzi kuthibitisha waliokufa walikufa kwa huo ugonjwa Covid ni theory na ajenda ya mzungu amkeni enyi watu mliokatika giza totoro mwendazake alipambana na watu walio na nguvu kubwa mno duniani ambao wakitka jambo hawashindwa wao ndio wanaziweka tawala nyingi africa madarakani
 
Back
Top Bottom