Wabunge wamtaka Mbowe kuomba radhi kwa kutoa kauli za kibaguzi

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,139
7,713
Wabunge wame kemea kitendo Cha mwenyeti wa Chadema ndg. Mbowe cha kutoa kauli za kibaguzi wakati akitoa maoni yake juu ya uwekezaji wa DP world katika bandari ya dsm

Hakika mzee Mbowe kakosea sana kwa kutoa kauli za kibaguzi dhidi ya kiongozi wa nchi, kama kiongozi Mkuu wa chama cha upinzani hakupaswa kabisa kutamka kauli hiyo ambayo kimsingi inavunja misingi na tunu za Taifa letu.

kama ulimi wake uliteleza basi ni vyema akaomba radhi kama alikusudia hawezi kuomba radhi.

Aombe radhi, kwani kawakosea watanzania wote ambao tunaenzi misingi aliyo tuachia Baba wa Taifa letu Hayati JK Nyerere, misingi ya Umoja na mshikamano bila kubaguana.

Mbowe sio tu kawakosea viongozi wetu bali kawakosea watanzania wote.

haiwezekani kila kukicha tunahubiri umoja na mshikamano wa wananchi wetu halafu leo Mbowe anatoka hadharani kutoa kauli za kibaguzi!!! jambo hili sio sahiihi na halikubaliki.
 

Attachments

  • IMG_7578.jpeg
    IMG_7578.jpeg
    24.2 KB · Views: 3
Wabunge wame kemea kitendo Cha mwenyeti wa Chadema ndg. Mbowe cha kutoa kauli za kibaguzi wakati akitoa maoni yake juu ya uwekezaji wa DP world katika bandari ya dsm

Hakika mzee Mbowe kakosea sana kwa kutoa kauli za kibaguzi dhidi ya kiongozi wa nchi, kama kiongozi Mkuu wa chama cha upinzani hakupaswa kabisa kutamka kauli hiyo ambayo kimsingi inavunja misingi na tunu za Taifa letu.

kama ulimi wake uliteleza basi ni vyema akaomba radhi kama alikusudia hawezi kuomba radhi.

Aombe radhi, kwani kawakosea watanzania wote ambao tunaenzi misingi aliyo tuachia Baba wa Taifa letu Hayati JK Nyerere, misingi ya Umoja na mshikamano bila kubaguana.
Bandari salama kunanyesha mvua kubwa mwezi June na hakuna anayestuka, wanadhani ni baraka za kuuza shamba Kwa mwarabu wa Dubei.

Tusubiri mipaka ya bandari itapoongezeka.
 
Wabunge wame kemea kitendo Cha mwenyeti wa Chadema ndg. Mbowe cha kutoa kauli za kibaguzi wakati akitoa maoni yake juu ya uwekezaji wa DP world katika bandari ya dsm

Hakika mzee Mbowe kakosea sana kwa kutoa kauli za kibaguzi dhidi ya kiongozi wa nchi, kama kiongozi Mkuu wa chama cha upinzani hakupaswa kabisa kutamka kauli hiyo ambayo kimsingi inavunja misingi na tunu za Taifa letu.

kama ulimi wake uliteleza basi ni vyema akaomba radhi kama alikusudia hawezi kuomba radhi.

Aombe radhi, kwani kawakosea watanzania wote ambao tunaenzi misingi aliyo tuachia Baba wa Taifa letu Hayati JK Nyerere, misingi ya Umoja na mshikamano bila kubaguana.
Kwanini wao wasianze kumuomba radhi ili naye awaombe radhi?
 
Unajua hili lundo la takataka za ccm linamchukulia Mbowe kama Ndugai.
Rais alipaswa amwombe Ndugai msamaha kwa ile kauli ya nchi kupigwa mnada na ndio kitu tunachoshuhudia kwa sasa hivi.
 
Back
Top Bottom