frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,098
- 1,341
Alistahili kutimuliwa kazi miaka mingi iliyopita lakini unamjua DHAIFU mpaka Bunge la CCM limshinikize ndio afukuze kazi watu. Kazi ilishamshinda huyu siku nyingi sana na kuendelea kuwepo kwake ndio kumelichafua kabisa jeshi hilo na sasa kuonekana ni genge la wahuni, watesaji, wezi, majambazi na wauaji pia halina heshima hata kidogo katika kila kona ya nchi yetu. Kwa kifupi amechangia mno jeshi hilo kupoteza heshima yake nchini.
Majibu makini sanaa, kwa swali ambalo mhulizaji ajitambui, Habari za Iramba HAMY-D