Mwema kung'atuka?

Mwema kung'atuka?

BAK,

Sidhani kama umemaanisha ambacho umekiandika hapo!

Katika ma-IGP walio tenda kazi nzuri kwenye nyanja ya usalama wa raia na mali zao ni huyu IGP ndiye anae ibuka kidedea.

Huwezi kupima tu Tanzania ya leo katika mambo ya kiuhalifu na ile ya enzi za Mkapa na Mwinyi?

Leo hii ujambazi na unyang'anyi ni kama hadithi vile, matukio ya aina hii ni ya kutafuta na tochi, unadhani hali hii imetokana na nini?

Hayo matukio uliyo eleza ni kweli yametokea wakati wake, ila yakupaswa uelewe kuwa uhalifu unazidi kukua, huwezi kufananisha mbinu za uhalifu za mwaka 1947 na za leo, hivyo jitihada ni kubwa za kupambana na matukio ya aina hiyo ndio maana hutokea mara chache chache.

Mmmmmh! Vipi kuhusu kutwesa na kung'oa kucha? Kitu kizito? Kumwagia tindikali? kukomaa kwa biashara ya madawa ya kulevya? Machache hayo na mengine mengi si crime ambayo amepewa tunzo kwa kuyaimarisha? Usisahau kupiga tu!
 
Kunakabusara kidogo ndani yake japo historia ya matukio ya vifo vya makusudi itamhukumu. Hata hivyo yamkini jk asimuluhusu kufanya hivyo, maana ataonekana msaliti. Safari hii walianza pamoja waimalize pamoja the icc.
 
Hao polisi hawafanyi hayo maovu kwa kupenda ni ama kwa kulazimishwa ili kulinda mfumo au kwa kujionea mfumo umekaa mkao wa kula sasa wao watakuaje washangiliaji wakati rungu wanalo. Tatizo letu ni mfumo mchafu ambao usiponyooshwa kwanza hata aje nani madarakani hatutaona jipya

Mfumo gani? Sema mfumo wa chama tawala CCM. Kama mtawala hataki hayo, wote wataacha hayawezi kuwa na nafasi. Kama wanasema we piga tu hadharani unafikiri kwenye kumwagiana nakugonga mvinyo utokano na PAYE yako wanasemaje? ni Ua tu!
 
wakuu naombeni mniwekee hapa wimbo wa PROF JAY- NANG'ATUKA .........usindikize hili thread........
 
nawashangaa wanaomtaka abaki ofisini
Hakuna mtu mwenye uwezo zaidi yake?
au ndio hivo yuko pale kulinda maslahi ya wachache ktk chama?
he has to retire as per law
na ateuliwe mwingine atakaelitumikia taifa bila ubaguzi wa kichama.
Wanaotaka abaki hadi 2015 ni wanafiki hawalitakii mema taifa.
 
Niliwahi kupost siku moja kuwa rational decision kwa Mwema ni kuondoka na si kuendelea na ofisi maana tukiwa tunaelekea 2015, nchi kwa kweli haitabiriki. Chochote chaweza kutokea kwa kuwa watu wamekata tamaa sana. Vilevile ikitokea mazingira ya kazi ni ya kuambiwa ufanye nini badala ya kutumia utalaamu wako, ni vema kukaa pembeni. Hongera Mwema huenda ukasalimika waachie akina Kova. Watakupigia simu na kukupongeza soon baada ya kung'atuka na kula pensheni yako tartiib.
 
ICC sio mchezo kasoma ramani mapema, kimbia mzee utafedheshwa tu 2015 na matumizi ya nguvu ya Watawala
 
By Bernard James, The Citizen Reporter | Saturday, July 27 2013


Inspector General of Police (IGP) Said Mwema, 60, will step down in December, we can authoritatively report.

Mr Mwema, who was expected to remain in office until after the 2015 General Election, has turned down the offer of a two-year contract, opting instead for just six months.

Impeccable police sources confided to The Citizen on Saturday that the IGP agreed to extend his stay to December despite a state request that he works another two years.

Mr Mwema, who was headhunted from Interpol seven years ago to lead the police force, was officially due for retirement last month but State House reportedly asked him to consider a long contract.

When he finally quits, the curtains will fall on an illustrious career spanning 30 years, during which Mr Mwema rose from a 22-year-old constable in 1976 to the apex of the police hierarchy.

The new development could trigger sweeping changes in the police top brass in the next few months.

The search for Mr Mwema¡¯s successor is reportedly on. ¡°What I know is that the one who will succeed Mwema has already been tipped,¡± said our confidant.

Insiders say he has been under a great deal of pressure in recent months from his boss, President Jakaya Kikwete, who plucked him from Interpol¡¯s regional office in Nairobi and made him his administration¡¯s first IGP.

In 2006, the President gave Mr Mwema the leeway to reform the tainted police force whose reputation had plummeted because of rampant crime, corruption and general apathy.

In Nairobi, he was praised for addressing crimes in eastern Africa such as trafficking in human beings, proliferation of small arms and light weapons, cattle rustling and poaching. Given his relatively good performance as IGP, those close to the presidency felt that Mr Mwema would go the distance with Mr Kikwete, whose second and final term ends in 2015. Mr Mwema¡¯s signature achievement has been the community policing programme.

But the IGP has in recent months come under attack from activists and the opposition for alleged human rights violations by the men in uniform, including the killing and torture of innocent civilians.

The police top brass have also been accused of political meddling and fomenting violence by openly siding with the ruling Chama Cha Mapinduzi. Mr Mwema was unavailable for comment on these accusations.

Head of the Directorate of Communication at State House Salva Rweyemamu said yesterday, he needed time to crosscheck the information. He cautioned against publishing such information on the grounds that it could trigger unnecessary public anxiety.

Meanwhile, three other top police officers who qualified for mandatory retirement at 60 on June 31 are angling for an extension of their contracts. They include Director of Criminal Investigation (DCI) Robert Manumba, the commander of Dar es Salaam Special Police Zone, Mr Suleiman Kova, and Commissioner of Police Isaya Mungulu.

Mr Kova will stay on under a two-year contract. He told The Citizen on Saturday: ¡°It is not a strange thing. It is just a normal arrangement. I don¡¯t see it as a story but I advise y
 
Kwa mtazamo wangu Jeshi zima la Polisi linapaswa kuvunjwa na kuundwa upya. Kama iliwezekana kuvunja Jeshi la Ulinzi mwaka 1964 na kuliunda upya baada ya uasi, sioni kwa nini serikali yetu 'sikivu' inaendelea kulikumbatia jeshi la Polisi ambalo limeshindwa kabisa kufanya kazi zake. Suala zima la ulinzi na usalama wa Raia halipo. Mtu anapopata tatizo asitegemee kwenda polisi kupewa msaada. Polisi wanawalinda viongozi wa ccm, wauza unga, wafanya biashara ya meno ya tembo na nyara zingine za Taifa, wakati huo huo wanatii amri ya 'kuwapiga', kuwatesa na kuwabambikia kesi raia wema.

Binafsi sioni tofauti yoyote Mwema, Kova, Manumba, Chagonja na 'vigogo' wengine wote wa polisi wakistaafu, kama policcm itaendelea kuwepo. Jeshi zima limeharibika...

uwe na heshima na hujui unachozungumza. Nchi zote duniani zinaweza kuwa hazina majeshi ila Polisi ni lazima wawepo. Polisi ni Law Enforcers sio Jeshi kama JWTZ wao sio LAW ENFORCERS! Ukitaka kujua uhondo wa ngoma uingie ucheze,we si uulize kwa Polisi kwa nini Mwema analazimika kujiuzuru kabla ya muda? Japokuwa hata wana-JF wanahamu ya kujua kwanini,lakini inakuwa ngumu kufichua sababu mambo mengine IKULU ndio inafahamu siri yote. Hapa ni jamvini kwa hiyo hata kuandika ni kwa kiasi!
 
Akapumzike tu amekuwa akishindwa kuchukua maamuzi kwa utashi wa sheria ila kwa utashi wa maccm
 
Katika ma-IGP walio tenda kazi nzuri kwenye nyanja ya usalama wa raia na mali zao ni huyu IGP ndiye anae ibuka kidedea.

Huwezi kupima tu Tanzania ya leo katika mambo ya kiuhalifu na ile ya enzi za Mkapa na Mwinyi?

Leo hii ujambazi na unyang'anyi ni kama hadithi vile, matukio ya aina hii ni ya kutafuta na tochi, unadhani hali hii imetokana na nini?

Kabisa Mkuu. Ujambazi ni wa kutafuta kwa tochi siku hizi na ndiyo maana Rais kasema ni bora majambazi yajitokeze yenyewe maana giza ni nene sana kiasha cha kutoyaona.

Ungekuwa unanifanyia propaganda lazima ningekufukuza kazi ukajifunze kwanza jinsi ya kufanya propaganda. Siwezi kumlipa mtu yoyote kwa propaganda ya aina hii. It is a waste of money na itanichafua zaidi.


  1. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...bazi-kusalimisha-silaha-na-kujisalimisha.html
  2. https://www.jamiiforums.com/habari-...ajambazi-wamwambia-jk-kuwa-bado-wanatesa.html
  3. https://www.jamiiforums.com/habari-...si-makao-makuu-mwanza-na-kuiba-vielelezo.html
  4. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-barlow-auawa-na-wanaodaiwa-ni-majambazi.html
  5. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/337717-igp-mwema-mob-justice-na-kuuawa-kwa-polisi.html
  6. https://www.jamiiforums.com/habari-...kingongo-yanatumia-mabomu-kulipua-mageti.html
  7. https://www.jamiiforums.com/habari-...o-mzito-mamillioni-wachina-kwenye-foleni.html
  8. https://www.jamiiforums.com/habari-...ia-maxx-bureau-de-change-na-kukomba-hela.html
  9. https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/446085-dar-majambazi-yapora-na-kuua-5.html
  10. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/26462-tahadhari-majambazi-waunda-task-force.html
 
Anyongwe Kwa Kusababisha Mauaji..... The Hague Lazima Aende Hata Kama Akiachia Hicho Kiti....
 
Atuambie kwanza ni kwa kiwango gani "plan" yake ya polisi jamii imefanikiwa? Coz sehemu nyingine "polisi jamii" wamegeuka wahalifu wakubwa
 
BAK,

Sidhani kama umemaanisha ambacho umekiandika hapo!

Katika ma-IGP walio tenda kazi nzuri kwenye nyanja ya usalama wa raia na mali zao ni huyu IGP ndiye anae ibuka kidedea.

Huwezi kupima tu Tanzania ya leo katika mambo ya kiuhalifu na ile ya enzi za Mkapa na Mwinyi?

Leo hii ujambazi na unyang'anyi ni kama hadithi vile, matukio ya aina hii ni ya kutafuta na tochi, unadhani hali hii imetokana na nini?

Hayo matukio uliyo eleza ni kweli yametokea wakati wake, ila yakupaswa uelewe kuwa uhalifu unazidi kukua, huwezi kufananisha mbinu za uhalifu za mwaka 1947 na za leo, hivyo jitihada ni kubwa za kupambana na matukio ya aina hiyo ndio maana hutokea mara chache chache.
Hilo la ujambazi lilikuwa rahisi kusovu. wala si kipimo cha kazi yake.
Ujambazi ulikuwa engineered by police, na regime change ya polisi kutoka mahita/tibaigana na majambazi wenzao na kuwa replaced na kina Mwema, automatically hilo genge lina phase out.
Mwema bado ni IGP mbofu sana. Mbofu.
Ameliharibia sifa jeshi la polisi.
Kila kona ya nchi akiona polisi anaona utesaji sio ulinzi.
Ameshindwa kujua wajibu wake na kulistructure jeshi kisiasa.
 
Kwa kweli aende tu akapumzike maana ICC ilikuwa inamgoja kwa uhalifu unaofanywa na Jeshi lake na kulifanya ni TAWI la CCM
 
Ameona hiyo extension offer aliyopewa na Mheshimiwa Rais Jakaya Mikoamipya Kikwete ni kitanza kitakachotumika kumnyonga huko ICC.
 
Back
Top Bottom