Mwekezaji kwenye uchimbaji wa dhahabu anahitajika

mama D

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
19,760
35,205
Habari ya muda huu GreatThinkers

Hili ni shamba la dhahabu lenye zaidi ya heka 35.

Mwenye eneo ameshapata nyaraka zote zinazotakiwa toka wizara husika na upande wa geologist report - anayo ambayo aliipata toka kwa local company.

Heka 5 tayari zimeshatengwa kwaajili ya uchimbaji (binafsi) na wanapata ila vifaa sahihi vya kazi bado ni changamoto. Na hapa ndipo linapokuja swala la kutafuta mwekezaji ili ku

Najua kwamba kampuni kubwa za nje ndio wenye nguvu ya kufanya haya mambo lakini pia naamini hapa jukwaani kuna wadau, wataalamu na wazoefu wa hii sector, wanaoweza kutoa ushauri wenye faida kwa mhusika.


Nawasilisha
 
Jibu maswali ya hapo juu niingize mzigo coz nina vifaa vyote muhimu vya uchimbaji. So kama upo serios njoo pm ila jibu kwanza hayo maswali
 
Fundi umeme + mechanical, mgodini niwekeni seat ya mafundi Fundi full set.....

PM me, tupige kazi
 
Habari ya muda huu GreatThinkers

Hili ni shamba la dhahabu lenye zaidi ya heka 35.

Mwenye eneo ameshapata nyaraka zote zinazotakiwa toka wizara husika na upande wa geologist report - anayo ambayo aliipata toka kwa local company.

Heka 5 tayari zimeshatengwa kwaajili ya uchimbaji (binafsi) na wanapata ila vifaa sahihi vya kazi bado ni changamoto. Na hapa ndipo linapokuja swala la kutafuta mwekezaji ili ku

Najua kwamba kampuni kubwa za nje ndio wenye nguvu ya kufanya haya mambo lakini pia naamini hapa jukwaani kuna wadau, wataalamu na wazoefu wa hii sector, wanaoweza kutoa ushauri wenye faida kwa mhusika.


Nawasilisha
Wadau wanaulizia location na reserve prediction/ forecast
 
Naomba Geological report PM, na Wamepima sampuli ngapi kiujumla pamoja na PPM au PPB wamepata ngapi ya juu?

Swala la geological report na leseni si kitu kbsa hiyo hata mimi ninayo,

Kama upo serious jibu swali au ni pm watsap yako tuzungumze
 
Naomba Geological report PM, na Wamepima sampuli ngapi kiujumla pamoja na PPM au PPB wamepata ngapi ya juu?

Swala la geological report na leseni si kitu kbsa hiyo hata mimi ninayo,

Kama upo serious jibu swali au ni pm watsap yako tuzungumze

Lipo wapi..mtaji kiasi gani mnataka


liko wapi?reserve ya dhahabu kiasi gani?Uwekezaji wa kiasi gani?Ni limited Company ama ni nindividual?

Eneo ni Kahama
Reserve ya dhahabu, Uwekezaji nitawaletea nasubiri anipatie
Ni Limited company.
 
Kwa experience yangu ya zaidi ya miaka 17 kwenye mining industry......

Ninavyojua....kama isemavyo ile kauli....kizuri kinajiuza....inaaply 💯 percent kwenye dhahabu...

Eneo lenye dhahabu halitafuti mwekezaji!

Bali mwekezaji ndie anatafuta...

Na wawekezaji wakubwa (makampuni) Barrick na shoga zao!( Wa kufanana nao)...

Maeneo yoote unayoyaona yanaanzishwa migodi....

hakuna jipya wanalokuwa wamegundua...!(Uongo mkubwa)

Bali wanakuwa wanakamilisha mapitio tu ( exprolation) ambayo ilishafanyika miaka na miaka huko nyuma na mababu zao....

Huwa wanakuja na gia tu ya kufanya exprolation survey ila ukweli ndio huo...

Mwaka 2011 nikiwa chunya nili prove right! Kwenye hii sekta ya uchimbaji madini.....

Nikiwa na kampuni ya Shanta gold chunya ndani ya patamela forest reserve, luika chunya......

Nikiwa operator wa Dozer wakati wa kufanya bush clearing Ili Kutengeneza Open pit ya kwanza....

Kulikuwa na mzungu mmoja kama leader...

Alikuwa na kifaa kama radio call(old phone) na ramani mkononi....

Eneo hilo aliwaambia wazungu wenzake kuwa hapa ndipo patakuwa katikati ya pit....

So nifanye cleaning..kuzunguka hiyo NONDO!(kwenye eneo hilo)

KULIKUWA NA NONDO YA mm 16 IMESIMIKWA KWA ZEGE KALI SIJAPATA KUSHUHUDIA....

Na hapo ndipo ilipowekwa pit ya kwanza! luika hadi sasa!

Ingawa kwa sasa imegeuzwa underground

Hata ilipokuwa ikifanyika blasting.. unasikia maporomoko ya mawe huko chini....

Unajua kabisa .....ya kwamba...hapa palikuwa na uchimbaji wa chini kwa chini uliokua ikifanyika miaka hiyo(underground) kabla hawajafurumushwa na nyerere.

Nimeeleza kwa kirefu Ili ufahamu kuwa, hawa watu Huwa hawa kurupuki...

Exprolation Huwa ni gia tu ya kupata tax heaven kwa serikali. Kupata privilege wasizostahili kupewa!.

In addition....

Hawa wazungu waliacha mali nyingi saana ...ndio hawa hawa wanarudi KWA gia ya uwekezaji!....

Kuna. Kitu Huwa kinanipa mashaka sana hasa hawa wawekezaji wanaolalamikiwa kuchukua mashamba makubwa toka KWA wanakijij...

Hivi kuna mtu alishajiuliza wanachukua haya mashamba makubwa kwa Kazi Gani!?

Ni mwenye uono wa mbali tu anawezagundua....kuwa wako na ramani...kutafuta mali zao zilizoachwa kwenye data na wazazi wao.
 
Kwa experience yangu ya zaidi ya miaka 17 kwenye mining industry......

Ninavyojua....kama isemavyo ile kauli....kizuri kinajiuza....inaaply percent kwenye dhahabu...

Eneo lenye dhahabu halitafuti mwekezaji!

Bali mwekezaji ndie anatafuta...

Na wawekezaji wakubwa (makampuni) Barrick na shoga zao!( Wa kufanana nao)...

Maeneo yoote unayoyaona yanaanzishwa migodi....

hakuna jipya wanalokuwa wamegundua...!(Uongo mkubwa)

Bali wanakuwa wanakamilisha mapitio tu ( exprolation) ambayo ilishafanyika miaka na miaka huko nyuma na mababu zao....

Huwa wanakuja na gia tu ya kufanya exprolation survey ila ukweli ndio huo...

Mwaka 2011 nikiwa chunya nili prove right! Kwenye hii sekta ya uchimbaji madini.....

Nikiwa na kampuni ya Shanta gold chunya ndani ya patamela forest reserve, luika chunya......

Nikiwa operator wa Dozer wakati wa kufanya bush clearing Ili Kutengeneza Open pit ya kwanza....

Kulikuwa na mzungu mmoja kama leader...

Alikuwa na kifaa kama radio call(old phone) na ramani mkononi....

Eneo hilo aliwaambia wazungu wenzake kuwa hapa ndipo patakuwa katikati ya pit....

So nifanye cleaning..kuzunguka hiyo NONDO!(kwenye eneo hilo)

KULIKUWA NA NONDO YA mm 16 IMESIMIKWA KWA ZEGE KALI SIJAPATA KUSHUHUDIA....

Na hapo ndipo ilipowekwa pit ya kwanza! luika hadi sasa!

Ingawa kwa sasa imegeuzwa underground

Hata ilipokuwa ikifanyika blasting.. unasikia maporomoko ya mawe huko chini....

Unajua kabisa .....ya kwamba...hapa palikuwa na uchimbaji wa chini kwa chini uliokua ikifanyika miaka hiyo(underground) kabla hawajafurumushwa na nyerere.

Nimeeleza kwa kirefu Ili ufahamu kuwa, hawa watu Huwa hawa kurupuki...

Exprolation Huwa ni gia tu ya kupata tax heaven kwa serikali. Kupata privilege wasizostahili kupewa!.

In addition....

Hawa wazungu waliacha mali nyingi saana ...ndio hawa hawa wanarudi KWA gia ya uwekezaji!....

Kuna. Kitu Huwa kinanipa mashaka sana hasa hawa wawekezaji wanaolalamikiwa kuchukua mashamba makubwa toka KWA wanakijij...

Hivi kuna mtu alishajiuliza wanachukua haya mashamba makubwa kwa Kazi Gani!?

Ni mwenye uono wa mbali tu anawezagundua....kuwa wako na ramani...kutafuta mali zao zilizoachwa kwenye data na wazazi wao.
We jamaa umeongea kitu cha msingi sana
 
Kwa experience yangu ya zaidi ya miaka 17 kwenye mining industry......

Ninavyojua....kama isemavyo ile kauli....kizuri kinajiuza....inaaply percent kwenye dhahabu...

Eneo lenye dhahabu halitafuti mwekezaji!

Bali mwekezaji ndie anatafuta...

Na wawekezaji wakubwa (makampuni) Barrick na shoga zao!( Wa kufanana nao)...

Maeneo yoote unayoyaona yanaanzishwa migodi....

hakuna jipya wanalokuwa wamegundua...!(Uongo mkubwa)

Bali wanakuwa wanakamilisha mapitio tu ( exprolation) ambayo ilishafanyika miaka na miaka huko nyuma na mababu zao....

Huwa wanakuja na gia tu ya kufanya exprolation survey ila ukweli ndio huo...

Mwaka 2011 nikiwa chunya nili prove right! Kwenye hii sekta ya uchimbaji madini.....

Nikiwa na kampuni ya Shanta gold chunya ndani ya patamela forest reserve, luika chunya......

Nikiwa operator wa Dozer wakati wa kufanya bush clearing Ili Kutengeneza Open pit ya kwanza....

Kulikuwa na mzungu mmoja kama leader...

Alikuwa na kifaa kama radio call(old phone) na ramani mkononi....

Eneo hilo aliwaambia wazungu wenzake kuwa hapa ndipo patakuwa katikati ya pit....

So nifanye cleaning..kuzunguka hiyo NONDO!(kwenye eneo hilo)

KULIKUWA NA NONDO YA mm 16 IMESIMIKWA KWA ZEGE KALI SIJAPATA KUSHUHUDIA....

Na hapo ndipo ilipowekwa pit ya kwanza! luika hadi sasa!

Ingawa kwa sasa imegeuzwa underground

Hata ilipokuwa ikifanyika blasting.. unasikia maporomoko ya mawe huko chini....

Unajua kabisa .....ya kwamba...hapa palikuwa na uchimbaji wa chini kwa chini uliokua ikifanyika miaka hiyo(underground) kabla hawajafurumushwa na nyerere.

Nimeeleza kwa kirefu Ili ufahamu kuwa, hawa watu Huwa hawa kurupuki...

Exprolation Huwa ni gia tu ya kupata tax heaven kwa serikali. Kupata privilege wasizostahili kupewa!.

In addition....

Hawa wazungu waliacha mali nyingi saana ...ndio hawa hawa wanarudi KWA gia ya uwekezaji!....

Kuna. Kitu Huwa kinanipa mashaka sana hasa hawa wawekezaji wanaolalamikiwa kuchukua mashamba makubwa toka KWA wanakijij...

Hivi kuna mtu alishajiuliza wanachukua haya mashamba makubwa kwa Kazi Gani!?

Ni mwenye uono wa mbali tu anawezagundua....kuwa wako na ramani...kutafuta mali zao zilizoachwa kwenye data na wazazi wao.

Exprolation-Exploration

Umenena vyema mkuu, Data wanazo wanakuja kuthibitisha na kuanza uchimbaji.

Nina experience kwenye sekta ya madini japo si nyingi kama zako.

Ulichonena ni kweli
 
Back
Top Bottom