Mweeeeeee!

jamaniii hahahahahahahj

afrodenzi umemuona huyo? Kama ndo umemkalia wakati wa mambo yetu yale hakika bao lake lazima likurushe juu ufumue dari na bati ukadondokee nje ya nyumba. Hiyo pressure ni noumer utadhani gari la fire.
 
Back
Top Bottom