Mwanzo wa Dhambi.

Mwanzo wa Dhambi.

NAPITA

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
5,077
Reaction score
2,249
dhambi.jpg
 
Mwanzo wa Dhambi ya asili!!
 
...ndivyo biblia inavyosema zaidi ya hapo ni porojo tu na kama ingekuwa vinginevyo ingeandikwa pia maana Mungu si muongo...

Lakini pia wanasema kwenye maandiko kuna Mafumbo kazi ni kuyafumbua....!!
 
biblia ina mafumbo sana wakati mwingine ni ngumu kuchambua cha msingi kuamini na kufuata yaliyoandikwa
 
Kaka mnatudangaya...Adam hakuwa mweupe...adam alikua mweusi....Adamu ni neno linalotokana na Lugha ya Kiarabu ..."DDAMU" lenye maana Kiza...ni kiumbe kilicho umbwa kwa udongo mweusi wenye Rutba nyingi......
 
Kumbe Adam na Eva walikuwa wazungu?

Hapo ndio wazungu walipotuzidi akili.Kitu chochote kizuri kinachorwa rangi ya mzungu.Kibaya kinakuwa rangi ya mwafrika.Anagalia shetani , linachorwa jitu baya jeusi,lakini malaika mzuri mweupe.

Hawa jamaa waliishaturoga kitaambo.
 
Hapo ndio wazungu walipotuzidi akili.Kitu chochote kizuri kinachorwa rangi ya mzungu.Kibaya kinakuwa rangi ya mwafrika.Anagalia shetani , linachorwa jitu baya jeusi,lakini malaika mzuri mweupe.

Hawa jamaa waliishaturoga kitaambo.

kwanini wao wakawa na mafanikio kuliko hii ngozi nyeusi?
_
_
_
 
Halafu wazungu mabu.egwe kweli kuna muvi moja niliiangalia Eti Hawa alibakwa na mashetani ndio akazaa mtoto mwafrika. Qummmaniner.
 
Ni bahati mbaya sana NAPITA kwamba Adam na hawa walikuwa wazungu wakadanganyika na nyoka wakala tunda na dhambi ikatokea! Laiti wangekuwa wachina, dhambi isingetokea kwani wangemla nyoka na mambo yangebaki shwari!

Mkuu unamawazo sana aisee!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom