Mwanzo wa Dhambi.

Mwanzo wa Dhambi.

Huyu hapa ni shetani
er_dialo_negro__black_devil__by_violencesummer-d4x0xqi.png

Ya kweli hayo?
 
We NAPITA (?) hii alama ina maana gani? Tumia kichwa kufikiri sio kutumia mnyelo

Umeshindwa kuishia kwenye tumia kichwa mpaka useme Mnyelo sijui hapo umetumia nini kufikilia ilo neno lakini nimekujibu Binadamu au aukuona mkuu ila poa nimekupata tuendelee kuchangia
 
Mkuu unamawazo sana aisee!!!
Mkuu NAPITA, hayo si mawazo yangu ila ni mawazo yaloyopo kwenye joke moja inayojulikana sana
juu ya adam na hawa kuhusu kudanganywa na nyoka na kula tunda. Joke hiyo inajulikana sana!
 
Last edited by a moderator:
Ndo picha zinazowekwa na wazungu zinaonyesha Adam and Eve ni wazungu lakini shetani ni mweusi.

Wabunifu wetu nao wagebuni kwamba shetani ni mweupe hadi ukimuangalia kutokana na weupe wake macho yanapofuka anzieni hapo tutapata kitu.
 
story za wayahudi bwana!na wamepata wafuasi wengi!tangu lini nyoka akaongea na binadamu?
 
hiyo picha ni ya uongo kwa haya yafuatayo:
hawakuwa wamevaa chochote kabla ya kula tunda
hawakuwa wote Adam na eva wakat wanadanganywa
nyoka alikuwa na miguu kabla ya wao kula
mchoraji hana lolote ni hewa kibiblia, achore tena
 
hiyo picha ni ya uongo kwa haya yafuatayo:
hawakuwa wamevaa chochote kabla ya kula tunda
hawakuwa wote Adam na eva wakat wanadanganywa
nyoka alikuwa na miguu kabla ya wao kula
mchoraji hana lolote ni hewa kibiblia, achore tena
Naunga mkono hoja....
 
Ila tuacheutani adam alipewa mremba atiii

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Defend or die nimecheka kama mwehu...unakichaa mkuu

We itafute hiyo senema maana lijamaa
lilitaka hata kumuua Adam kwa kitofa[bonge la jiwe ova nyumba]ndio Hawa akamuombea msamaha na jamaa shetani akaondoka na Hawa na kwenda nae kusikojulikana na ndio kurudi huko yakawa majanga.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom