Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,255
biblia ina mafumbo sana wakati mwingine ni ngumu kuchambua cha msingi kuamini na kufuata yaliyoandikwa
Unayafuata baada ya kuyatafakari na kuyapambanua!
biblia ina mafumbo sana wakati mwingine ni ngumu kuchambua cha msingi kuamini na kufuata yaliyoandikwa
hiyo picha ni ya uongo kwa haya yafuatayo:
hawakuwa wamevaa chochote kabla ya kula tunda
hawakuwa wote Adam na eva wakat wanadanganywa
nyoka alikuwa na miguu kabla ya wao kula
mchoraji hana lolote ni hewa kibiblia, achore tena
Ila tuacheutani adam alipewa mremba atiii
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums