Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,276
Moto mkubwa umezuka kwenye soko la Mitumba la Mlango Mmoja Kata ya Mbugani Wilayani Nyamagana jijini Mwanza leo asubuhi Septemba 28, 2018 na kuteketea vibanda vya biashara pamoja na maduka hivyo kusababisha hasara ambayo thamani yake bado hakijafahamika.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella, amethibitisha kutokea kwa moto huo huku akisema bado chanzo cha moto hakijafahamika lakini hapo baadaye atatolea maelezo.
Pia soma: Soko la Kariakoo lateketea kwa moto
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella, amethibitisha kutokea kwa moto huo huku akisema bado chanzo cha moto hakijafahamika lakini hapo baadaye atatolea maelezo.
Pia soma: Soko la Kariakoo lateketea kwa moto