Shida inaanzia hapa, Ndio CCM iko taabani je tuchague chama gani sasa kilichojipanga kushika dola? kushika dola sio bahati mbaya bali ni mipango na maadalizi yaliyokomaa..
yaani unataka uwape nchi hawa wazee wa matukio? chama kisicho na mipango ya kesho, chama kisicho na uongozi madhubuti kutoka juu mpaka chini huko...hapo ndipo wengi tunakosa option na kuamua kutopiga kura..
bila KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI, CCM itaendelea KUTUSUA tu.Kwa upepo unavyovuma kanda ya ziwa itakuwa ni vigumu mno kwa CCM kushinda Majimbo ya uchaguzi ya Ubunge na hata kura kwa Rais zitapungua mno 2025!
Nawashauri wana Chadema na hata vyama vingine vya upinzani wekezi nguvu zenu Kanda ya ziwa hakika hamtojuta 2025.
Ukweli ni kwamba Samia anachukiwa mno ktk Ukanda ule!
Je unauwezo wa kuzuia wanao beba mabegi yaliyo jaa kwenye vituo vya kupigia kura?Kwa upepo unavyovuma kanda ya ziwa itakuwa ni vigumu mno kwa CCM kushinda Majimbo ya uchaguzi ya Ubunge na hata kura kwa Rais zitapungua mno 2025!
Nawashauri wana Chadema na hata vyama vingine vya upinzani wekezi nguvu zenu Kanda ya ziwa hakika hamtojuta 2025.
Ukweli ni kwamba Samia anachukiwa mno ktk Ukanda ule!
Ussiwe umabisha tu tunajadili nimi kifanyike! Sawa Lisu kwa akili yako alimshinda Maguguli huko kanda ya ziwa hata kama kulikuwa na wizi wa kura! Tuwe wakweli itatusaidia kuliko kubaki ki wabwajatu hapa! Kanda ya ziwa Magufuli ndo ilikuwa ina mbeba na Lowasa na Lisu kule walishindwa kihalali ubishi mbaya!Nani alikudanganya ccm huwa inashinda uchaguzi?,wizi wao ndy unawafanya watangwe washindi na tume ya ccm
Miaka mingine walishindaje hao wabunge? CHADEMA if you serious lazima mtambue haki haiji kama ugali mezani inapambaniwa!Je unauwezo wa kuzuia wanao beba mabegi yaliyo jaa kwenye vituo vya kupigia kura?
Kumbe bado hatujakombolewa kifikra,tuna safari ndefuMiaka mingine walishindaje hao wabunge? CHADEMA if you serious lazima mtambue haki haiji kama ugali mezani inapambaniwa!
CHADEMA wakiendelea na ujinga wa kukumbatia uanaharakati na kutukana watu wa kanda ya ziwa mtabaki kama mlivo mkishauriwa na mtu mnamuona CCM! Acheni hayo fanyeni reforms!Shida upinzani wenyewe nao haueleweki.
Polisi watakuwa wame kufa?? Maana wao ndio wezi wa kura za upinzaniKwa upepo unavyovuma kanda ya ziwa itakuwa ni vigumu mno kwa CCM kushinda Majimbo ya uchaguzi ya Ubunge na hata kura kwa Rais zitapungua mno 2025!
Nawashauri wana Chadema na hata vyama vingine vya upinzani wekezi nguvu zenu Kanda ya ziwa hakika hamtojuta 2025.
Ukweli ni kwamba Samia anachukiwa mno ktk Ukanda ule!
Shubiri huonjwa nayo mkuu. Kwa tulipofikiabora uhuni wa wasio CCM kuliko utukufu wa CCM!Nje ya ccm hakuna chama ni heri hao hao ccm kuliko Wahuni
Tumefikia wapi? 😂😂Shubiri huonjwa nayo mkuu. Kwa tulipofikiabora uhuni wa wasio CCM kuliko utukufu wa CCM!
Tena wakiweka Mzanzibari kugombea Urais wa Jamhuri ya Tanganyika, wamekwisha...!!Kwa upepo unavyovuma kanda ya ziwa itakuwa ni vigumu mno kwa CCM kushinda Majimbo ya uchaguzi ya Ubunge na hata kura kwa Rais zitapungua mno 2025!
Nawashauri wana Chadema na hata vyama vingine vya upinzani wekezi nguvu zenu Kanda ya ziwa hakika hamtojuta 2025.
Ukweli ni kwamba Samia anachukiwa mno ktk Ukanda ule!
Kwani yule dikiteta alikuwa anashinda? We vepe?Kwa upepo unavyovuma kanda ya ziwa itakuwa ni vigumu mno kwa CCM kushinda Majimbo ya uchaguzi ya Ubunge na hata kura kwa Rais zitapungua mno 2025!
Nawashauri wana Chadema na hata vyama vingine vya upinzani wekezi nguvu zenu Kanda ya ziwa hakika hamtojuta 2025.
Ukweli ni kwamba Samia anachukiwa mno ktk Ukanda ule!
Kwa nguvu majimbo yote ni CCM. No wayKwa upepo unavyovuma kanda ya ziwa itakuwa ni vigumu mno kwa CCM kushinda Majimbo ya uchaguzi ya Ubunge na hata kura kwa Rais zitapungua mno 2025!
Nawashauri wana Chadema na hata vyama vingine vya upinzani wekezi nguvu zenu Kanda ya ziwa hakika hamtojuta 2025.
Ukweli ni kwamba Samia anachukiwa mno ktk Ukanda ule!
Labda ungetuambia wale waliokuwa wasaidizi wa CCM kwenye chaguzi zilizopita Safari hii watawageuka na kuwa upande wa wapinzani.Na upinzani utashinda tena kwa Katiba hii hii.
Nakwambia hawa Chadema wakiona wana watu huko kaskazini na mbeya wanajua washachukua nchi! Wanaonesha dharau kwa watu wa kanda ya ziwa hususani wasukuma kwa sababu ya chuki zao kwa Maguful! Acheni huo ujinga! Kanda ya ziwa ndo kubwa!Shida Chadema imewekeza mno kaskazini na kwa hivi karibuni walizodoa mno kanda ya ziwa kisa Magufuli hapo ndipo walipochemsha hawajui kucheza na sayansi ys siasa