Mwanza, Shinyanga na Musoma: CCM ikishinda uchaguzi ujao naahidi kujiondoa JF

Ipe NCCR au TLP
Shida inaanzia hapa, Ndio CCM iko taabani je tuchague chama gani sasa kilichojipanga kushika dola? kushika dola sio bahati mbaya bali ni mipango na maadalizi yaliyokomaa..

yaani unataka uwape nchi hawa wazee wa matukio? chama kisicho na mipango ya kesho, chama kisicho na uongozi madhubuti kutoka juu mpaka chini huko...hapo ndipo wengi tunakosa option na kuamua kutopiga kura..
 
Kwa upepo unavyovuma kanda ya ziwa itakuwa ni vigumu mno kwa CCM kushinda Majimbo ya uchaguzi ya Ubunge na hata kura kwa Rais zitapungua mno 2025!

Nawashauri wana Chadema na hata vyama vingine vya upinzani wekezi nguvu zenu Kanda ya ziwa hakika hamtojuta 2025.

Ukweli ni kwamba Samia anachukiwa mno ktk Ukanda ule!
bila KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI, CCM itaendelea KUTUSUA tu.
 
Kwa upepo unavyovuma kanda ya ziwa itakuwa ni vigumu mno kwa CCM kushinda Majimbo ya uchaguzi ya Ubunge na hata kura kwa Rais zitapungua mno 2025!

Nawashauri wana Chadema na hata vyama vingine vya upinzani wekezi nguvu zenu Kanda ya ziwa hakika hamtojuta 2025.

Ukweli ni kwamba Samia anachukiwa mno ktk Ukanda ule!
Je unauwezo wa kuzuia wanao beba mabegi yaliyo jaa kwenye vituo vya kupigia kura?
 
Nani alikudanganya ccm huwa inashinda uchaguzi?,wizi wao ndy unawafanya watangwe washindi na tume ya ccm
Ussiwe umabisha tu tunajadili nimi kifanyike! Sawa Lisu kwa akili yako alimshinda Maguguli huko kanda ya ziwa hata kama kulikuwa na wizi wa kura! Tuwe wakweli itatusaidia kuliko kubaki ki wabwajatu hapa! Kanda ya ziwa Magufuli ndo ilikuwa ina mbeba na Lowasa na Lisu kule walishindwa kihalali ubishi mbaya!
 
Kwa upepo unavyovuma kanda ya ziwa itakuwa ni vigumu mno kwa CCM kushinda Majimbo ya uchaguzi ya Ubunge na hata kura kwa Rais zitapungua mno 2025!

Nawashauri wana Chadema na hata vyama vingine vya upinzani wekezi nguvu zenu Kanda ya ziwa hakika hamtojuta 2025.

Ukweli ni kwamba Samia anachukiwa mno ktk Ukanda ule!
Polisi watakuwa wame kufa?? Maana wao ndio wezi wa kura za upinzani
 
Mleta uzi unasahau kuwa CCM ndio inaandaa uchaguzi,inasimamia na kumtangaza matokeo. Hivyo kuishinda CCM mpaka kufumua mfumo mzima mana iko wazi siku zote chaguzi zote hawajawahi kushinda Ila wanatangazwa kwa hila. Tume hii ya Kaijage tusubiri sana. Ni ukweli mchungu lakini ndo hivyo tunaishi nao. Matumaini yapo kwa Mungu kama aliangusha jiwe hata hayo mengine yana siku zake.
 
Kwa upepo unavyovuma kanda ya ziwa itakuwa ni vigumu mno kwa CCM kushinda Majimbo ya uchaguzi ya Ubunge na hata kura kwa Rais zitapungua mno 2025!

Nawashauri wana Chadema na hata vyama vingine vya upinzani wekezi nguvu zenu Kanda ya ziwa hakika hamtojuta 2025.

Ukweli ni kwamba Samia anachukiwa mno ktk Ukanda ule!
Tena wakiweka Mzanzibari kugombea Urais wa Jamhuri ya Tanganyika, wamekwisha...!!
 
Kwa upepo unavyovuma kanda ya ziwa itakuwa ni vigumu mno kwa CCM kushinda Majimbo ya uchaguzi ya Ubunge na hata kura kwa Rais zitapungua mno 2025!

Nawashauri wana Chadema na hata vyama vingine vya upinzani wekezi nguvu zenu Kanda ya ziwa hakika hamtojuta 2025.

Ukweli ni kwamba Samia anachukiwa mno ktk Ukanda ule!
Kwani yule dikiteta alikuwa anashinda? We vepe?

Ni bora hata Samia anaeleweka. Yule dikiteta ilikuwa vituko na aibu tu!
 
Kwa upepo unavyovuma kanda ya ziwa itakuwa ni vigumu mno kwa CCM kushinda Majimbo ya uchaguzi ya Ubunge na hata kura kwa Rais zitapungua mno 2025!

Nawashauri wana Chadema na hata vyama vingine vya upinzani wekezi nguvu zenu Kanda ya ziwa hakika hamtojuta 2025.

Ukweli ni kwamba Samia anachukiwa mno ktk Ukanda ule!
Kwa nguvu majimbo yote ni CCM. No way
 
Mapema mno kubashiri
Siasa ni mchezo wa kisayansi ungesubiri 2024 ukaleta hii mada
 
Shida Chadema imewekeza mno kaskazini na kwa hivi karibuni walizodoa mno kanda ya ziwa kisa Magufuli hapo ndipo walipochemsha hawajui kucheza na sayansi ys siasa
 
Shida Chadema imewekeza mno kaskazini na kwa hivi karibuni walizodoa mno kanda ya ziwa kisa Magufuli hapo ndipo walipochemsha hawajui kucheza na sayansi ys siasa
Nakwambia hawa Chadema wakiona wana watu huko kaskazini na mbeya wanajua washachukua nchi! Wanaonesha dharau kwa watu wa kanda ya ziwa hususani wasukuma kwa sababu ya chuki zao kwa Maguful! Acheni huo ujinga! Kanda ya ziwa ndo kubwa!
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom