Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,981
- 103,354
Kwa upepo unavyovuma kanda ya ziwa itakuwa ni vigumu mno kwa CCM kushinda Majimbo ya uchaguzi ya Ubunge na hata kura kwa Rais zitapungua mno 2025!
Nawashauri wana Chadema na hata vyama vingine vya upinzani wekezi nguvu zenu Kanda ya ziwa hakika hamtojuta 2025.
Ukweli ni kwamba Samia anachukiwa mno ktk Ukanda ule!
Kama ni kwa njia ya kura ni kupoteza muda maana CCM huwa wanatangazwa washindi bila kushinda. Cha kufanya anzeni sasa kuwazomea viongozi wa ccm, na kuwasusia kwenye mikutano na vikao vyao mbalimbali. Hiyo 2025 susieni uchaguzi na kuwaambia kabisa jambo tayari kuongozwa na wao bila ridhaa yenu. Kiongozi wa ccm akiwa na shughuli ya kijamii kama sherehe, msiba nk msihudhurie. Mkifanya hivyo akili zitawarudia.