Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,808
- 218,463
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, ile Kampeni Kabambe ya kuelimisha Wananchi kuhusiana na Umuhimu wa Katiba Mpya, na kuwaamsha wananchi juu ya jukumu la kulinda maliasili za Taifa, zikiwemo Bandari za Tanganyika zilizogawiwa kibwege kwa Waarabu wa Dubai kwa kisingizio dhaifu cha Uwekezaji, iko Mkoani Mwanza na leo imeingia kwenye visiwa vya Ukerewe.
Ratiba kamili hii hapa
Hapa chini Mh Mbowe na Viongozi wenzake wakichukua tahadhari ya kuvuka Ziwa Victoria na Chopa yao
Usiondoke JF , kuna mazito ya kutoka Mahakamani yatafichuliwa
Ratiba kamili hii hapa
Hapa chini Mh Mbowe na Viongozi wenzake wakichukua tahadhari ya kuvuka Ziwa Victoria na Chopa yao
Usiondoke JF , kuna mazito ya kutoka Mahakamani yatafichuliwa