Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,812
- 218,470
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba ile Kampeni kabambe ya kuelimisha wananchi kuhusu Umuhimu wa Katiba Mpya, ambayo imeongezwa kipengele cha kuokoa Bandari za Tanganyika, Imeingia rasmi kwenye Kanda ngumu ya Nyasa.
Taarifa kutoka Makao Makuu ya CHADEMA na kwenye ofisi za Kanda hiyo zinaeleza kwamba, kutokuwa na Jopo la Wahadhiri 15 wa Vyuo vikuu ambao watafanya kazi ya kuwaelimisha Wananchi kuhusu Ubovu wa Mkataba wa Bandari na DP World.
Maandalizi yote yamekamilika.
Kama kawaida mimi mtumishi wenu nitakuwepo kuwaletea kila kinachojiri.
Usiondoke JF.
Taarifa kutoka Makao Makuu ya CHADEMA na kwenye ofisi za Kanda hiyo zinaeleza kwamba, kutokuwa na Jopo la Wahadhiri 15 wa Vyuo vikuu ambao watafanya kazi ya kuwaelimisha Wananchi kuhusu Ubovu wa Mkataba wa Bandari na DP World.
Maandalizi yote yamekamilika.
Kama kawaida mimi mtumishi wenu nitakuwepo kuwaletea kila kinachojiri.
Usiondoke JF.