Mwanza: Mangula azomewa kwa aibu

Mwanza: Mangula azomewa kwa aibu

CCM ni chama cha kueneza uwongo....hatudanganyiki endelee:rofl:kuleta jokes ati wameleta maandeleo sijui yepi hayo tunazaidi ya miaka 52 ya uhuru lakini bado zaidi ya 50% wanaishi chini ya dola moja kwa siku. Tembo wanazidi kuisha mbugani. Rushwa na kukosekana kwa good governance kunaongezeka kila siku, hatuna madawa mahospitalini na hata maji ya kunywa amabyo ni haki ya kimsingi kwa mtanzania ni hadithi

CCM should go now, its enough
 
Niliona Nnauye anawaonyesha wazomeaji kidole kama ishara ya kufirwa. Nimemwona kama kiongozi asiye na Busara,akiri na hekima,naomba apewe ushauri nasaha namna ya kuvumilia wananchi pale wapomkataa.

Mbona ndo zake huyo.!! alisha wahi kuwatukana wana mwanza kuwa wanashikishwa ukuta, Tabora alisema mimba changa zinawasumbua, huyu jamaa ni wa ajabu sana
 
Mwenyekiti wa wanawake Chadema Wilayani Kwimba Mama Monica Jimotolo, amerudisha kadi ya chama hicho na kuingia rasmi CCM.

Mama Jimotolo alieleza sababu kuu iliyomfanya kuingia CCM ni kuchoshwa kwake na siasa za chuki na uchochezi ambazo zinalenga kuvunja amani na mshikamano wa nchi yetu.

Alieleza hadhara hiyo kuwa baada ya kufanya uamuzi huo, wengine kumi na saba wameongozana naye na kusema chama hicho kimekufa wilayani hapo. Wanachama hao walikaribishwa na Mwenyekiti wa CCM taifa na kupewa kadi za Chama Cha Mapinduzi.

attachment.php
 
Hivi CCM wanapimaje maendeleo? Naona kwao magari na maghorofa ndio kipimo
 
Mwenyekiti wa wanawake Chadema Wilayani Kwimba Mama Monica Jimotolo, amerudisha kadi ya chama hicho na kuingia rasmi CCM.

Mama Jimotolo alieleza sababu kuu iliyomfanya kuingia CCM ni kuchoshwa kwake na siasa za chuki na uchochezi ambazo zinalenga kuvunja amani na mshikamano wa nchi yetu.

Alieleza hadhara hiyo kuwa baada ya kufanya uamuzi huo, wengine kumi na saba wameongozana naye na kusema chama hicho kimekufa wilayani hapo. Wanachama hao walikaribishwa na Mwenyekiti wa CCM taifa na kupewa kadi za Chama Cha Mapinduzi.

attachment.php

Kila la kheri huko aendako lakini Chadema kwimba iko imara kuliko kawaida, chini ya uratibu mahiri wa Leticia Mageni Nyerere.
 
Jukwa lao jana lilijaa vitisha,na wakadai kila mtumishi wa uma ni lazima awe mwana CCM ,la sivyo hana kazi.Jamani huu si ujinga na kudharau democracy?
 
Kuna uzi mwingine umeanzishwa hapa unaelezea ukweli wa ziara ya mangula mwanza...unawaumbua sadist wote mnaolalamika hapa
 
Nikiona mbali naiona bendera ya CHADEMA ikipepea nchi nzima huku wananchi wakifurahi, nyimbo vgelegele na vifijo 2015.
 
Hongera kwa mananchi wa MZA kutopenda kuendelea kusikila ujinga wa CCM chama chenye viongozi wasio weza kufiri.
 
Mwenyekiti wa wanawake Chadema Wilayani Kwimba Mama Monica Jimotolo, amerudisha kadi ya chama hicho na kuingia rasmi CCM.

Mama Jimotolo alieleza sababu kuu iliyomfanya kuingia CCM ni kuchoshwa kwake na siasa za chuki na uchochezi ambazo zinalenga kuvunja amani na mshikamano wa nchi yetu.

Alieleza hadhara hiyo kuwa baada ya kufanya uamuzi huo, wengine kumi na saba wameongozana naye na kusema chama hicho kimekufa wilayani hapo. Wanachama hao walikaribishwa na Mwenyekiti wa CCM taifa na kupewa kadi za Chama Cha Mapinduzi.

attachment.php


Kim , habari hii ni ya mwaka gani? Maana najua kwa sasa yuko kwa Hollande ufaransa , sasa wewe unaweka picha za mwaka jana?!!!!
 
Kuna uzi mwingine umeanzishwa hapa unaelezea ukweli wa ziara ya mangula mwanza...unawaumbua sadist wote mnaolalamika hapa

Mkuu Munyangaa naona umeingia mwenyewe jamvini kutoa sapoti kwa vijana.
 
Last edited by a moderator:
Huyu matata siku zake zinahesabika,sijui hata niwachama gani.au nimgombea binafsi yaani mwenyezi anakwenda kufanya yake we are weiting fo it
 
Niliona Nnauye anawaonyesha wazomeaji kidole kama ishara ya kufirwa. Nimemwona kama kiongozi asiye na Busara,akiri na hekima,naomba apewe ushauri nasaha namna ya kuvumilia wananchi pale wapomkataa.

Bado hujapata ban tu?
 
CCM ndio bye bye hivyo. Akina Nape hawataki kuamini, lakini ukweli ndio huo. Mnachukiwa sana nchi nzima nyie majambazi CCM kwa kuilostisha nchi.
 
ccm na kama ukimwi,kwa aliyeelimika atauogopa hata kwa kutumia kinga
 
Hii ni dalili nzuri 2015....CDM tunachukua nchi cha msingi tujipange na tuwe makini.
 
Hii ni dalili nzuri 2015....CDM tunachukua nchi cha msingi tujipange na tuwe makini.

Hakuna wa kuirudisha nyuma Chadema.Walichofanyiwa CCM jana Mwanza ni aibu ya mwaka.Wajipange upya.
 
CCM haiwezi kufanyia mikutano uwanja wa Sahara na Furahisha, kwani hivyo ni viwanja vya ukombozi. Jangili wa meno ya tembo alijaribu akaonja joto ya jiwe!
 
Back
Top Bottom