Mwanza: Mangula azomewa kwa aibu

Mwanza: Mangula azomewa kwa aibu

- sihitaji mtu wa kunishawishi niwaamini.
Hizi zomea zomea hatuoni picha wala sauti za kuzomea

We endelea kusubiri video au picha hapa hapa zitakuja tu muda si mrefu lakini ukweli ndio huo kwamba magamba yalizomewa vibaya sana pamoja na kusomba wananchi kutoka mikoa ya jirani geita na simiyu kuwaongezea mahudhurio.

Ni maajabu lakini ndio ukweli wenyewe kwamba ccm imeshajiposition katika nafasi ya kuwa chama cha upinzani kwakuwa siasa wanazofanya sasa ni pure opposition party politics wakati wao wako madarakani. Badala ya kutumia muda wao kutekeleza ilani yao (ingawa haitekelezeki) wamejikita kuitangaza Chadema kila mkutano. Na sisi tunasema mwendo mdundo ccm endelea kutupatia free ride katika vyombo vya habari. Hadi tunafika 2015 ccm itakuwa imekata kauli inasubiri tu isareli ajinyakulie kilicho chake.
 
Mkuu chama,

Makamanda wa Chadema wanazidi kujichanganya Mkuu Molemo na Mohamedi Mtoi, walianzisha uzi na kusema Gazeti la Mwananchi ni maalumu kwa propaganda za CCM leo wanalitumia kama ushahidi.

Mkuu Ritz kwa leo Mwananchi limetoa habari bila kuichakachua kabisa.

Ninawataka Mwananchi waendelee na weledi huu wa kutoa habari bila upendeleo.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Molemo, tutajie hiyo mitaa ya Mwanza.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu chama gazeti la Mwananchi limekuwa la Udaku siku hizi?

Mkuu Molemo
Siku likiandika slaa anaishi na kimada usiligeuke; mbona mnashindwa kusema ukweli alizomewa ndani ya mkutano au barabarani? Nyie udaku tu hao makamanda wenu mliowapanga barabarani sisi hatujali ila ndani ya mkutano ilikuwa ni shangwe tupu

Chama
Gongo lamboto DSM
cc Ritz
 
Inasemekana intelligensia ya green guard iliwaeleza ukweli viongozi kuhusu hali ya kutokukubalika,mzee mangula akapanic na akajikuta mambo yanagongana kichwani bila majibu,kwa iyo alichofanya ni kutimiza wajibu wa kupanda jukwaani tu,chanzo Mnec. NYAMAGANA!!!
 
Mwenyekiti wao kagoma kwenda maana alimtuma Pinda akapewa hizo za Mangula haendi huko
 
Mkuu Molemo
Siku likiandika slaa anaishi na kimada usiligeuke; mbona mnashindwa kusema ukweli alizomewa ndani ya mkutano au barabarani? Nyie udaku tu hao makamanda wenu mliowapanga barabarani sisi hatujali ila ndani ya mkutano ilikuwa ni shangwe tupu

Chama
Gongo lamboto DSM
cc Ritz

Mkuu chama mimi nasimama na habari ya gazeti la Mwananchi hayo ya ndani ya mkutano siyajui mkuu wangu.

Information is Power Mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu chama mimi nasimama na habari ya gazeti la Mwananchi hayo ya ndani ya mkutano siyajui mkuu wangu.

Information is Power Mkuu.

Mimi nilishuhudia anazomewa kwenye makutano ya barabara za Nyerere na Posta,katikati ya hoteli za Mwanza,na Gold Crest,hapo ilikuwa ni patashika,lakini kiukweli hali si nzuri sana kwa CCM katika jiji la Mwanza,pamoja na yoote yanayosemwa,si rahisi sana kuhamasisha watu wengi kiasi kile kwamba wajipange barabarani,labda lakini siamini sana kutokana na uhalisia wa siasa zilizoko Mwanza.
 
M
Awali Mangula alihutubia kwa dakika 5 tu kitu kilichowashangaza wengi na swala la msingi alilosema ni kwamba CCM imeleta maendeleo katika kipindi cha miaka 50 kwani zamani Mwanza ilikuwa na ghorofa moja tu la Bugando lakini sasa kuna 'Mabugando' mengi.

Source:Mwananchi Jumatatu.

Kumbe Watu wa Dar tumeendelea maana magholofa yameongezeka sana hapa Dar
 
Mkuu Ritz kwa leo Mwananchi limetoa habari bila kuichakachua kabisa.

Ninawataka Mwananchi waendelee na weledi huu wa kutoa habari bila upendeleo.

Linaonekana limechakachua habari pale tu linapoandika tuhuma za CHADEMA,lakini likiandika za CCM hapo linakuwa limetenda kazi wanayoitaka.hii haikubaliki ni lazima tukubali kukubali kukosolewa hata kama ni CDM ikikanyagwa kwenye ukweli tukubali cha msingi ni kuangalia tulipojikwaa na kufanya matengenezo!!!!!
 
tunahitaji rehema ya Mungu kama maendeleo ya nchi ni pamoja na mabugando kuwa mengi mwanza
 
Mkuu chama mimi nasimama na habari ya gazeti la Mwananchi hayo ya ndani ya mkutano siyajui mkuu wangu.

Information is Power Mkuu.

Mkuu Molemo
Kwa hiyo hata ile habari ya slaa kiongozi wa kitaifa amepora mke wa mtu na anaishi naye kama kimada" sasa umeikubali kwasababu mimi niliisoma kwenye Mwananchi; acha tu nikuhabrishe kidogo ndani ya uwanja ilikuwa ni nderemo na vifijo

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Wananchi walijipanga njia nzima msafara huo ulipopita huku wakionyesha ishara ya vidole viwili na zomeazomea ikishika kasi.
 
Mkuu Molemo
Kwa hiyo hata ile habari ya slaa kiongozi wa kitaifa amepora mke wa mtu na anaishi naye kama kimada" sasa umeikubali kwasababu mimi niliisoma kwenye Mwananchi; acha tu nikuhabrishe kidogo ndani ya uwanja ilikuwa ni nderemo na vifijo

Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu chama naomba Link ya hiyo habari.Hapa hatuhitaji porojo.

BTW,nasikia Nakala za gazeti la Mwananchi kote nchini zimeisha leo mapema asubuhi hii.Ndiyo magazeti yajifunze unapotoa habari ya kweli gazeti linajiuza lenyewe
 
Last edited by a moderator:
We endelea kusubiri video au picha hapa hapa zitakuja tu muda si mrefu lakini ukweli ndio huo kwamba magamba yalizomewa vibaya sana pamoja na kusomba wananchi kutoka mikoa ya jirani geita na simiyu kuwaongezea mahudhurio.

Ni maajabu lakini ndio ukweli wenyewe kwamba ccm imeshajiposition katika nafasi ya kuwa chama cha upinzani kwakuwa siasa wanazofanya sasa ni pure opposition party politics wakati wao wako madarakani. Badala ya kutumia muda wao kutekeleza ilani yao (ingawa haitekelezeki) wamejikita kuitangaza Chadema kila mkutano. Na sisi tunasema mwendo mdundo ccm endelea kutupatia free ride katika vyombo vya habari. Hadi tunafika 2015 ccm itakuwa imekata kauli inasubiri tu isareli ajinyakulie kilicho chake.

Kamanda Muulize anataka tumuwekee???!!
 
Wananchi walijipanga njia nzima msafara huo ulipopita huku wakionyesha ishara ya vidole viwili na zomeazomea ikishika kasi.

Du mbona wanaume waliumbuka jamani.
Many thanks to Mwananchi Newspaper.
 
Wananchi walijipanga njia nzima msafara huo ulipopita huku wakionyesha ishara ya vidole viwili na zomeazomea ikishika kasi.
hivi vidole viwili maana yake ni nini?hivi hawa walikuwa ni wananchi wa kawaida au wanachama wa chama fulani walioamua kushabikia chame chengine?
 
Back
Top Bottom