Mutasingwa Wayne
Member
- Jan 20, 2013
- 53
- 34
Hiki kitu kilichofanywa na mangula kwa watu wa mwanza ilikuwa ni dharau na kejeli kubwa kwa watu wa Mwanza.This was typical sarcasim na alipata anachostahili
Hivi Mayor wa Ilemela hakuwepo atumie vifungu kuwazuia wananchi wasimzomee Mangula?
Si jambo la kufurahia sana. Tunajenga kizazi cha watu wasioridhika na uendeshaji wa serikali. Watoto wetu wanajifunza kutoiheshimu na kuithamni serikali bila kupata ufumbuzi wa haraka. Watoto wanaona kwamba serikali ni chombo cha maadui wao. Kwa hakika itakuwa kazi kubwa kuwawajibiosha huko tuendako.
CCM jifunzeni kwa reaction za watu. Huu si upepo tu kama msemavyo, bali ni hali halisi "mnachukiwa sana" kibaya zaidi mnatuharibia sana kizazi tutakachokitawala sisi watu makini.
Ni dhambi na kufuru kusema ccm haikuleta maendeleo katika miaka 50 iliyopita:target:
Punguza ukali wa maneno na matusi, JF ni jukwaa la wastaarabu na siyo kijiwe cha wavutaji wa ile sigara kubwa...........!Niliona Nnauye anawaonyesha wazomeaji kidole kama ishara ya kufirwa. Nimemwona kama kiongozi asiye na Busara,akiri na hekima,naomba apewe ushauri nasaha namna ya kuvumilia wananchi pale wapomkataa.
Mkuu Honey K wakati mwingine Mwananchi wanatoa habari za uhakika kama hizi.
Punguza ukali wa maneno na matusi, JF ni jukwaa la wastaarabu na siyo kijiwe cha wavutaji wa ile sigara kubwa...........!
Hiki ni kituko cha kushangaza kama siyo kusikitisha pale wananchi wanaposhabikiwa kwa kuzomea zomea msafara wa watu au wanasiasa.
Watanzania tumeanza kuonyesha dalili ya kuanza kufilisika kisiasa kwa kuanza kushadadia zomea zomea kama ndiyo njia mbadala ya kujenga hoja wakati hii ni dalili ya ukosefu wa ustaarabu kisiasa na mwanzo wa uvunjifu wa amani katika jamii.
Lazima tuendeshe siasa zenye msingi wa kukubali kutokubaliana katika hoja na siyo hoja za nguvu katika misingi ya zomea zomea (Hooliganism)
-We can't entertain let alone practise the idea of being flag-waving and intolerant.
-Tufike sehemu na kusema, this is not right.
Hata kama alikuwa na mood mbaya kiasi gani kuhusiana na hawa magamba wanavyomkera!! Lakini kwa kiasi kikubwa wachangiaji humu JF, tunatakiwa tuwe na uvumulivu mkubwa, na hawa magamba tunapaswa tuwajibu kwa hoja na siyo kuwatukana, na mwisho wa yote, mwaka 2015, tuwang'oe madarakani, kwa kutumia sanduku la kura!!Ulitaka asemeje?unajua alikuwa na mood gani?unafahamu ni kiasi gani CCM imemchosha?