Mwanza: Maandamano ya M4C yafunga barabara kuu

Mwanza: Maandamano ya M4C yafunga barabara kuu

maguzu masese

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
283
Reaction score
139
Maandamano ya M4C jijini Mwanza jana jioni yalisimamisha shughuli za waendesha magari kwa muda wa nusu saa baada ya mkutano wa ukweli uliofanyika viwanja vya Capri Point. Wafuasi wa CHADEMA walimzuia kamanda Mawazo kupanda gari kuamua kumsindikiza kwa maandamano mpaka hoteli alofikia maeneoa ya Uhuru.

Bara bara za station tokea Capri, barabara ya Nyerere na barabara ya Uhuru zilijaa watu wengi wakipiga kelele kumsindikiza kamanda Mawazo.

Kamanda Mawazo leo anawasha moto wa mabadiliko Bukoba. Mwendo mdundo, hatulali mpaka kieleweke

Maguzu
 
Maandamano ya M4C jijini Mwanza jana jioni yalisimamisha shughuli za waendesha magari kwa muda wa nusu saa baada ya mkutano wa ukweli uliofanyika viwanja vya Capri Point. Wafuasi wa CHADEMA walimzuia kamanda Mawazo kupanda gari kuamua kumsindikiza kwa maandamano mpaka hoteli alofikia maeneoa ya Uhuru.

Bara bara za station tokea Capri, barabara ya Nyerere na barabara ya Uhuru zilijaa watu wengi wakipiga kelele kumsindikiza kamanda Mawazo.

Kamanda Mawazo leo anawasha moto wa mabadiliko Bukoba. Mwendo mdundo, hatulali mpaka kieleweke

Maguzu

Mada ilikuwa nini manake naona ameamua kukomaa na Kanda ya ziwa
 
hata mrema agustino alisukumwa kwenye gari lakini hakupata urais
 
Maandamano ya M4C jijini Mwanza jana jioni yalisimamisha shughuli za waendesha magari kwa muda wa nusu saa baada ya mkutano wa ukweli uliofanyika viwanja vya Capri Point. Wafuasi wa CHADEMA walimzuia kamanda Mawazo kupanda gari kuamua kumsindikiza kwa maandamano mpaka hoteli alofikia maeneoa ya Uhuru.

Bara bara za station tokea Capri, barabara ya Nyerere na barabara ya Uhuru zilijaa watu wengi wakipiga kelele kumsindikiza kamanda Mawazo.

Kamanda Mawazo leo anawasha moto wa mabadiliko Bukoba. Mwendo mdundo, hatulali mpaka kieleweke

Maguzu

Huwa nafurahishwa sana na utendaji kazi huyu Kamanda Mawazo, nimejaribu kuitafuta picha yake bila mafanikio,

Please kama kuna yeyote mwenye picha ya huyu Kamanda Mawazo aieweke hapa ili nipate kuiridhisha nafsi yangu.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Chadema na watu wake.
 
cha muhimu si kupata uraisi tu,bali umma ujue nafasi yake ktk mabadiliko ya nchi hii,wewe unawaza urais na ndo maana mnakolimba watu ili mbaki na urais.sisi tutakomaa kitaa mpaka kieleweke.viva kamanda,viva chadema.
 
KAribu na senene bado wapo , bila senene nyama bukoba ingepanda bei
 
hata mrema agustino alisukumwa kwenye gari lakini hakupata urais
Shhh!!shhhi!! Asikusikie Nape Jeetu Patel utanyimwa posho! Wenzio hawalali usingizi wewe unafananisha people power na Mrema! Hii M4C ni kitu ingine mjomba!ss
 
Maandamano ya M4C jijini Mwanza jana jioni yalisimamisha shughuli za waendesha magari kwa muda wa nusu saa baada ya mkutano wa ukweli uliofanyika viwanja vya Capri Point. Wafuasi wa CHADEMA walimzuia kamanda Mawazo kupanda gari kuamua kumsindikiza kwa maandamano mpaka hoteli alofikia maeneoa ya Uhuru.

Bara bara za station tokea Capri, barabara ya Nyerere na barabara ya Uhuru zilijaa watu wengi wakipiga kelele kumsindikiza kamanda Mawazo.

Kamanda Mawazo leo anawasha moto wa mabadiliko Bukoba. Mwendo mdundo, hatulali mpaka kieleweke

Maguzu

Kamanda Mawazo ndio nani?
 
jamaa namkubali sana chadema wangepata watu kumi tu na wakasambaa nchi nzima mpaka magogon nahc baba Riz angerudisha kadi ya magamba
 
Naomba hii M4C iende sambamba na kumwondoa meya wa kichina hapa Ilemela .Yaani hatutaki kumwona akipita hapa mitaani na kupeperusha hiyo bendera.
 
aah! mbona anaondoka Rocky City mapema bila kurusha kombora pale kata ya mkolani kwa meya wa magumashi wa jiji la Mwanza Mabula kama alivyofanya Kitangiri kwa meya wa kichina wa Ilemela Matata?
 
Back
Top Bottom