Majimbo yanayoongozwa na CDM utayajua tu! Hawa watu hawatufai kabisa!!
.Eeh, hata kule tarime polisi walikoua raia mbunge wa jimbo ni wa chadema. No research no right to talk!.Majimbo yanayoongozwa na CDM utayajua tu! Hawa watu hawatufai kabisa!!
hahahahaaa yani u made my night king'astimkuu,unashauri ihamishiwe kwenye kusaka wachumba?
Yana matatizo gani, kwani wao kama CDM wamefanya nini , ACHA KUIPOTOSHA JAMII unaonekekana wewe umetumwa, na aliyekutuma si mzima!! Kulaaleki!!Majimbo yanayoongozwa na CDM utayajua tu! Hawa watu hawatufai kabisa!!
kama hawawafai hameni, ondoeni akili ya wizi wizi wizi, mkishtukiwa inakua tabu kwendeni zenu kule!!! ndo mwisho wenu ushafika.Majimbo yanayoongozwa na CDM utayajua tu! Hawa watu hawatufai kabisa!!
This has nothing to do with SIASA jaman,Habari ni kwamba kuna kijana mmoja wa jeshi fulani amempiga mwendesha pikipiki pasipo kujua kuwa naye ni mtumishi wa he jeshi jingine. Hapa ninapoongea, gari la mkuu wa kituo limeishachomolewa vioo. Hakuna gari linalovuka eneo la tukio. Kama kuna waandihi wa habari mlioko Mwanza jijini tembelea kwenye tukio muweze kupata ukweli wa mambo.
Polis v wanannchi hapatoshi jee? huyo mjeshi bodo wenzake hawajatinga kwenyetukio? ilitakiwa washikiswe adabu wawo siku zote wanajiona wapo juu ya sheliaHabari ni kwamba kuna kijana mmoja wa jeshi fulani amempiga mwendesha pikipiki pasipo kujua kuwa naye ni mtumishi wa he jeshi jingine. Hapa ninapoongea, gari la mkuu wa kituo limeishachomolewa vioo. Hakuna gari linalovuka eneo la tukio. Kama kuna waandihi wa habari mlioko Mwanza jijini tembelea kwenye tukio muweze kupata ukweli wa mambo.
Hapa si kesi ya CDM ni mfumo wa uongozi katika majimbo hayo. Vurugu zilizopita alisababisha mtu ambaye ni kada na kiongozi wa sisiemu ambaye amewekwa kwa maslahi ya rais. Kwa namna moja au nyingine hapikiki chungu kimoja na madiwani matokeo yake anafanya maamuzi pasipo kuwashirikisha wenzake. CDM imetoka wapi hapo.
Angalia majimbo ya vyama vingine, hali shwariii... Hayo yenu tu ndio balaa!Kufa sifu na chamoto mtakionaKaribia utakufa kwa ujinga nenda hospitali iliyo karibu mapema wanaweza kusaidia kitu!
Majimbo yanayoongozwa na CDM utayajua tu! Hawa watu hawatufai kabisa!!
Kufa sifu manaake nini?Mwanaume wa kweli hapelekeshwi kama kishada,ukileta ushoga unapewa za uso tu kwani nini.Angalia majimbo ya vyama vingine, hali shwariii... Hayo yenu tu ndio balaa!Kufa sifu na chamoto mtakiona
Angalia majimbo ya vyama vingine, hali shwariii... Hayo yenu tu ndio balaa!Kufa sifu na chamoto mtakiona
Ishu naona ishapoa nimepita pande hizo polish vs raia na jwtz,karibuni mwanza ila umeme anasa siku hiziHii vurugu inaendelea maeneo ya Nyakato National karibu na kituo cha polisi cha Mwatex, magari yamezuiliwa. Tutaendelea kuwajulisha nini chanzo cha vurugu, ila habari nyepesi ni kwamba kuna kundi fulani lililo rasmi linapigana na kundi jingine lililo rasmi. Nitawajulisheni baada ya kupata habari kamili vijana wangu ndo wameenda kwenye tukio.
Hujuwi ukitendacho majimbo ya nayo ongozwa na cdm yanawatu waelewa wanao juwa haki zao hayo mnayo yashikilia bado hawajanawa uso wakinawa hamtawashika tena usijivunie upofu wa wanannchi ulio faywa na ccm wanao kura minofu wanawarushia mifupa. watu wakikataa kura mifupa mnasema wanafujo ccm imefanikicha muda wa miaka 50 kuwazoofisha watu kuamini kwamba anayesema ukweli au kudai haki zake au zawenzake wasio juwa hakizao anapachikwa jina mvuruga amani mudini mkabira mkanda na wale ambao kwamakusudi au kwa bahati mbaya husapoti na kuwachukia wapigania uhuru wa wanyonge wengine wana masirai na huo mfumo wengine ni mkumbo wa athilika bira kujijuwa tusiwachukie wanahitaji msada kamahuyu ndugu yetu jf tuwasaidieAngalia majimbo ya vyama vingine, hali shwariii... Hayo yenu tu ndio balaa!Kufa sifu na chamoto mtakiona
Majimbo yanayoongozwa na CDM utayajua tu! Hawa watu hawatufai kabisa!!