Huyo ni asili yake hata asingepewa angemchagua,muhimu wamwage hela tu tugawane halafu saa ya kura ndo watajua kuwa kura ni siri.Kwa mwana ccm wa kawaida akishapewa kushika uchumba lazima amchague huyo gabachori
In God we Trust
Acha ubaguzi usio kuwa na mantiki. Hawa ni watanzania wenye asili ya India babu zao waliletwa na wakoloni kujenga reli. Sasa unataka kuwabagua bila sababu.Nipo hapa madras india kwa mwezi wa tatu sijawahi kumuona mwafrika akiongoza hata kitongoji. Nashangaa huko kwetu wahindi ndiyo wameshika hatamu
In God we Trust
Acha ukabila na ubaguzi, tunawajua kwa hilo picha kamili ilionekana wakati wa uchaguzi 2015.Kama umecheki hiyo ID yake nadhani hutashangaa sana
In God we Trust
Acha ukabila na ubaguzi, tunawajua kwa hilo picha kamili ilionekana wakati wa uchaguzi 2015.
Acha ubaguzi usio kuwa na mantiki. Hawa ni watanzania wenye asili ya India babu zao waliletwa na wakoloni kujenga reli. Sasa unataka kuwabagua bila sababu.
Ni kwa sababu hawakupelekwa huko na wakoloni na kuacha masalia ya vizazi vyao.Watafuneni tu lkn hapa India hata kwa dawa huwezi kumkuta eti msukuma ni mbunge au mkurya ni mbunge au mdengereko ni mbunge au diwani hapa India
In God we Trust
Kwanza huko Madras india ulienda lini? India imezuia ndege zote kuingia na wewe unasema una siku tatu. Ndio maana mnatuwekea X ray picture za mikono ya wanaume ambazo mmezidownload kwenye mitandao ili mpate kick. Mbona mnafeli sana nyie vijana wa Ex Dj. Tumieni akili kuliko nguvu. Mmekuwa na propaganda za kishamba na za kizamani.Acha ubaguzi usio kuwa na mantiki. Hawa ni watanzania wenye asili ya India babu zao waliletwa na wakoloni kujenga reli. Sasa unataka kuwabagua bila sababu.
Kwanza huko Madras india ulienda lini? India imezuia ndege zote kuingia na wewe unasema una siku tatu. Ndio maana mnatuwekea X ray picture za mikono ya wanaume ambazo mmezidownload kwenye mitandao ili mpate kick. Mbona mnafeli sana nyie vijana wa Ex Dj. Tumieni akili kuliko nguvu. Mmekuwa na propaganda za kishamba na za kizamani.
Ujumbe umeupata mnafeli sanaUngekuwa na akili usinge ji quote
In God we Trust
Kura ni ya siri! HUna sababu ya kuacha pesa ya bwege. Pesa chukuwa ukipiga kura soma akili yako. Kama munaona hiyo ni akili ya kuwa kiongozi basi endeleeni lakini kwa maelezo machache uliyotoa yaonesha hana kitu kichwani kitakachoisaidia Bunda.Katika hali ya kushangaza Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma Mfanyabiashara wa Jijini Mwanza ameonekana Bunda Mjini akigawa pesa hadharani.
Huku akiwa na mabaunsa, wapambe na wanakwaya wakimsindikiza Mwanza Huduma amepita Vijiwe vya Kahawa na Maegesho ya Magari na kugawa kati ya shilingi Elfu 50 na laki moja kwa watu hadharani, Pia amepita kwa baadhi ya Mabalozi wa nyumba kumi na kumwaga laki mbili na laki tatu.
Akionekana kujiamini amekusanya baadhi ya wazee katika nyumba moja ya Balozi Semeni Kasuku na kutoa Laki NNE.
Wapambe wa karibu nae wamekabidhiwa shilingi Milioni Moja na kuanza kugawa Elfu kumi Au Elfu kumi na tano kwa Vijana wa Bodaboda na Wanakwaya maalum kwaajili ya kumpamba 'mgombea' huyo.
Kabla tukio hilo la kujitokeza hadharani, Baadhi ya Viongozi akiwemo Mwenezi wa CCM Wilaya Ndugu Bonavencha Makanga akiwa na wasaidizi wake walipita kwa Makatibu wa Kata na kuwapatia posho (rushwa) na baadhi ya Wenyeviti kama sehemu ya salam za Mhindi huyo ambae ameanza kampeni mapema kabla ya muda.
Leo walipoulizwa kwanini wanafanya mambo hayo hadharani bila kuogopa Mpambe wa karibu ajulikanae kama Masalu na Mwingine Selemani Nasoro walisema wamepata kibali kwa Mwenyekiti wa CCM Wilaya hivyo hawatishwi na mtu.
Hali hii isipodhibitiwa Bunda Mjini wagombea watatoana Taya maana Rushwa kwa viongozi wengi inatisha kama Corona.
U
Ujumbe umeupata mnafeli sana
Mnatuwekea X ray za uongo bana hamjui hata kutoa taarifa za uongo ni kosa la jinai?Mshamba sana sijui huko usagara umetoka lini
In God we Trust
Siwezi hama huku,nipo Nyakagwe naponda mawe yenye hela. We kaa hapo mtaa wa ufipa Ex Dj anaweza kukutoa baada ya uchaguzi 2020 ukapata uRc Moshi.Mshamba sana sijui huko usagara umetoka lini
In God we Trust