figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Salaam Wakuu, Hotel ya new Mwanza inawaka moto, Zimamoto wameshindwa kuzima kwa masaa 2. Moto umeshika kasi
====
Breaking news
Klabu maarufu kama Club Dallas iliyoko katika hotel ya Mwanza Hotel inateketea kwa moto muda huu huku chanzo cha moto hup kikiwa hakijajulikana.
Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Adam Malima akishirikiana na maofisa wa kikosi cha Zimamoto na uokoaji wanaendelea kupambana kuuzima moto huo ambao hadi muda huu umesambaa hadi kwenye paa la klabu hiyo.
Hadi muda huu ni zaidi ya dakika hii thread inawekwa, moto huo uanze kuwaka na bado haujadhibitiwa
====
Breaking news
Klabu maarufu kama Club Dallas iliyoko katika hotel ya Mwanza Hotel inateketea kwa moto muda huu huku chanzo cha moto hup kikiwa hakijajulikana.
Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Adam Malima akishirikiana na maofisa wa kikosi cha Zimamoto na uokoaji wanaendelea kupambana kuuzima moto huo ambao hadi muda huu umesambaa hadi kwenye paa la klabu hiyo.
Hadi muda huu ni zaidi ya dakika hii thread inawekwa, moto huo uanze kuwaka na bado haujadhibitiwa