Mwanza: Hoteli inawaka moto, Zimamoto wameshindwa kuzima kwa masaa 2

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
Salaam Wakuu, Hotel ya new Mwanza inawaka moto, Zimamoto wameshindwa kuzima kwa masaa 2. Moto umeshika kasi

====

Breaking news


Klabu maarufu kama Club Dallas iliyoko katika hotel ya Mwanza Hotel inateketea kwa moto muda huu huku chanzo cha moto hup kikiwa hakijajulikana.

Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Adam Malima akishirikiana na maofisa wa kikosi cha Zimamoto na uokoaji wanaendelea kupambana kuuzima moto huo ambao hadi muda huu umesambaa hadi kwenye paa la klabu hiyo.

Hadi muda huu ni zaidi ya dakika hii thread inawekwa, moto huo uanze kuwaka na bado haujadhibitiwa
 
Salaam Wakuu, Hotel ya new Mwanza inawaka moto, Zimamoto wameshindwa kuzima kwa masaa 2. Moto umeshika kasi

====

Breaking news


Klabu maarufu kama Club Dallas iliyoko katika hotel ya Mwanza Hotel inateketea kwa moto muda huu huku chanzo cha moto hup kikiwa hakijajulikana.

Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Adam Malima akishirikiana na maofisa wa kikosi cha Zimamoto na uokoaji wanaendelea kupambana kuuzima moto huo ambao hadi muda huu umesambaa hadi kwenye paa la klabu hiyo.

Hadi muda huu ni zaidi ya dakika hii thread inawekwa, moto huo uanze kuwaka na bado haujadhibitiwa
View attachment 2341242
Tz hapa bora tuwe na hiduma ya uzimaji moto ya makampuni binafsi .
 
Aibu hii yani Umbali ni dakika 2 kutoka ofisi za fire.
Screenshot_20220831-220022_Maps.jpg
 
Miaka ya 60,80 tz sehemu nyingi tz kulikuwa na hydrant installation system.....
Mfumo tuliuliaaa mbali na wala hawana na hawafikiri kuirudisha

Ova
 
Back
Top Bottom