Trouton
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 1,194
- 1,362
Kidogo wanafanana lakini daaah!, punda ni punda tu.Bora ya punda anafanana na Ng'ombe
Kidogo wanafanana lakini daaah!, punda ni punda tu.Bora ya punda anafanana na Ng'ombe
Mkuu usije kua umefungua jiko jirani na mbise so unamharibia biashara kwa kujua mbise huku jf hayupo hawezi jiteteaWakazi wa Mwanza, Mungu anawaona. Hii tabia iliyotamalaki ya kulisha watu kitoweo cha mnyama mbwa sijaipenda.
Tukio la kwanza lilitokea eneo maarufu Buswelu Centre, sehemu inayoitwa MSUKUMA PUB, kuna kaka pale anapika supu maarufu Mangi japo ni Mmeru anaitwa Mbise, wiki chache zilizopita alikamatwa usiku na askari wa doria akiwa na mzigo walipomtilia shaka na kumpekua akakutwa na VICHWA 4 (vinne) vya mbwa. Baada ya kubananishwa akakiri kuwa huwa anachanganya nyama ya mbwa na mbuzi, alikaa mahabusu siku kadhaa baadae wamemwachia anaendelea na biashara yake.
Tukio/matukio mengine ni kule sehemu za viwanja vya nane nane Nyamhongolo nako viliokotwa vichwa viwili (2) vya mbwa maeneo ya karibu na uwanjani, puuuuuuuuuuuuuuu!!! kumbe baadhi ya washenzi walikuwa wanachoma nyama za mbwa.
Tuhurumiane jamani, mbwa sio utamaduni wetu.
na wasiwasi kama utakosekana kwenye hilo kundi la kula snoopy dog dog teh teh tehSawa weee cheka wakati wenzio wamelishwa hiyo kitu, hahahah
Ndio ni mweupeHuyo Jamaa namfahamu na nlishawahi kula supu yake na anauza na kitimoto pia
Wala!!!!Mkuu usije kua umefungua jiko jirani na mbise so unamharibia biashara kwa kujua mbise huku jf hayupo hawezi jitetea
na wasiwasi kama utakosekana kwenye hilo kundi la kula snoopy dog dog teh teh teh
Labda aalikuwa na order ktoka kwa wahehe
uKO SAWA KABISAchakula cha kuaminika hasa nyama ni mfugo uliochinja mwenyewe
Mkuu hvyo ni vitu viwili tofaut kabsa!!!!!!!!!
Mkuu hvyo ni vitu viwili tofaut kabsa
Kitimoto ni nyama safi sana iliyorostiwa au kuchomwa vizuri na mara nying huliwa na ugali au ndizi huku ukishushia na bia yako saafi
Nguruwe ni mnyama mmoja mweupe au mweusi mchafu mchafu ana lipua guru libaya anafungwa ya mji vijijini huku
Nimharibie!!! ili iweje? Si yeye mwenyewe kayakoroga.Kimsingi aliyeleta huu Uzi Anatola kumharibia mbise biashara. Mbise yeye ndio WA kwanza kuanzisha kitimoto BUSWELU center. Mbise yeye anajishuhulisha na kitimoto tuu. Na siyo supu . hapo kwa msukuma kuna majiko mawili .Jiko la kwanza ndio la kitimoto analoendesha mbise. Jiko la pill ndio la supu .Jiko la supu anayeliendesha ni MANGI kwa jina anaitwa Mushi. Mushi yeye ananunua MBUZI wakiwa wazima na kuchinja. Mbise yeye wafugaji we ngurue wanakuja kuchukua order kwake wanamletea kwa Pikipiki .Mimi ninauza butcher hapo JIRANI kwahiyo wakati mwingine tunaazimana hata Mizani za kupimia nyama
Hiyo bucha ya jirani sio ajabu ni wewe hapo unayetizamana na kituo cha kupandia magari au unatizamana na Charle wa Chips ambaye una sifa ya kuchoma nyama zako DAWA MAITIKimsingi aliyeleta huu Uzi Anatola kumharibia mbise biashara. Mbise yeye ndio WA kwanza kuanzisha kitimoto BUSWELU center. Mbise yeye anajishuhulisha na kitimoto tuu. Na siyo supu . hapo kwa msukuma kuna majiko mawili .Jiko la kwanza ndio la kitimoto analoendesha mbise. Jiko la pill ndio la supu .Jiko la supu anayeliendesha ni MANGI kwa jina anaitwa Mushi. Mushi yeye ananunua MBUZI wakiwa wazima na kuchinja. Mbise yeye wafugaji we ngurue wanakuja kuchukua order kwake wanamletea kwa Pikipiki .Mimi ninauza butcher hapo JIRANI kwahiyo wakati mwingine tunaazimana hata Mizani za kupimia nyama
Pembeni uwe na chapati 4 zilizoenda shule. Supu ya mbwa tamu sana mkuuMbona supu ya mbwa iko poa sana.
Hasa ukipata supu ya ulimi...
Ukimharibia biashara Wateja wake watahamia hapo kwako!!! .Halafu Mwanza sio BusweluNimharibie!!! ili iweje? Si yeye mwenyewe kayakoroga.
Kamuulize yaliyomkuta.
Naomba na sifa zakoHiyo bucha ya jirani sio ajabu ni wewe hapo unayetizamana na kituo cha kupandia magari au unatizamana na Charle wa Chips ambaye una sifa ya kuchoma nyama zako DAWA MAITI
ndioMangi wa buswelu, duuh!!!