Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza ina population ya 3.6m ina maana kwa wastani kila wilaya ina watu laki 4 na 50 it means jiji la mwanza limeshafika population ya over 1 million
 
Kanda ya ziwa ,,,,,
1 mwanza 2 Kagera 3 geita 4 Mara 5 shinyanga 6 simiyu .....
Nb tabora inabidi waikate sasa mkoa umekuwa mkubwa sana na watu wengi
1667230775006.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kanda ya ziwa ,,,,,
1 mwanza 2 Kagera 3 geita 4 Mara 5 shinyanga 6 simiyu .....
Nb tabora inabidi waikate sasa mkoa umekuwa mkubwa sana na watu wengi View attachment 2403257

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitegemea Dar atakuwa na Milion 6+ kutokana na makadirio ya watu na vyanzo mbalimbali. Naona siku za mbele miaka 20 ijayo Dar inaweza kupitwa na baadhi ya mikoa
 
Nipo naelekea magu aisee mbele ya ihayabuyaga kuna bonge la kiwanda kinajengwa cha nyakato steel aisee kiwanda kikubwa sana
hicho ni cha meb ana hamishwa kutoka nyakato, na ameamua kujenga hapo nyanguge ni hatari sana huyo jamaa kwa pesa na hile hotel yake ya capri height ikikamilika itakuwa 💥💥💥🔥🔥
 
View attachment 2377715
Naona mpango wa kuionganisha Kabuhoro na Kitangiri kwa lami kupitia Ibanda unatimia. Nakumbuka zamani ukitaka kwenda town lazima ushuke Polisi Kirumba kupata Daladala, sasa hivi hata ukiwa Ibanda unapata usafiri pamoja na changamoto ya barabara iliyokuwepo. Hiki kipande kinatakiwa kikaungane na barabara ya Mwaloni au Kanisa la Anglican Kirumba
Home kabisa huku,nimesoma Tumaini primary pale
 
Back
Top Bottom