Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,169
- 6,182
Wawalipe watu fidia wachoronge keep leftView attachment 2402907
View attachment 2402908
Kuna ajali imetokea maeneo ya nyakato sokoni asubhi , ikihusisha Magari matano , nafkr tatizo ni matumizi ya taa za barabarani zilizowekewa pale junction ya kuchepukia kwenda meco , na Ile inayounganisha kwenda buzuruga