Kweli kabisa boss! ujenzi wa makao makuu ya usalama majini ni muhimu sana sana!Lini hii?
Kweli kabisa boss! ujenzi wa makao makuu ya usalama majini ni muhimu sana sana!Lini hii?
Ok safi! shukrani sana kwa taarifa mkuu!Ilemela karibu na airport
Walisema itajengwa karibu na airport, kiwanja kilipo sijuiJirani na Malaika au kule kambi ya jeshi?
Tuko kwenye majonzi mkuu wanakanda ya ziwa na watanzania kwa ujumla majirani zetu kagera wamepata janga la ajali ya Ndege!Jukwaa limepoa sana🤣🤣🤣
Daa Mwanza siku zote inakuwa tamu tamu tena sana! Hiki chuo gani wadau? Mwanza kaishi kokote iwe misungwi au sengerema mambo brubru!
Mc wish college, chuo Cha afya diploma ya clinical medicine na pharmacyDaa Mwanza siku zote inakuwa tamu tamu tena sana! Hiki chuo gani wadau? Mwanza kaishi kokote iwe misungwi au sengerema mambo brubru!
Kweli broTuko kwenye majonzi mkuu wanakanda ya ziwa na watanzania kwa ujumla majirani zetu kagera wamepata janga la ajali ya Ndege!
Amina tuwaombee sana! Ndo maana ujenzi wa makao makuu ya Marine security hapo mwanza inabidi ufanyike haraka iwezekanavyo kunusuru majanga kama haya!Kweli bro



Huyu mbabaishaji hamna kitu hapo! Yupo tu ngoja liende ujuaji mwingi mbele giza! Hawa wakuu wa mikoa wanaletwa kisiasa hawatufai!Naomba kujua kama Kuna possibilities ya kupata record ya huu mjadala
Nbs wamesema mwanza Ina watu 3.7 milion ..
Mkuu wa mkoa kasema 4 milioni..
Hata Kwa kuround ...si ni lazima iwe 3.9 ndo ukadirieView attachment 2408711View attachment 2408712
Sent using Jamii Forums mobile app
Tungepata video yake ingekaa poa sana, japo huyu mwamba ni mtaalamu wa maneno kuliko vitendo.Naomba kujua kama Kuna possibilities ya kupata record ya huu mjadala
Nbs wamesema mwanza Ina watu 3.7 milion ..
Mkuu wa mkoa kasema 4 milioni..
Hata Kwa kuround ...si ni lazima iwe 3.9 ndo ukadirieView attachment 2408711View attachment 2408712
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini yupo saw tu ...tumeona akipandisha Timu za biashara,akiwa Mara ...juzi kachangia milioni 20 pamba anapambania ipande DarajaTungepata video yake ingekaa poa sana, japo huyu mwamba ni mtaalamu wa maneno kuliko vitendo.
Bora hata afanye hivyo tutauona mchango wake kwa mlango huoLakini yupo saw tu ...tumeona akipandisha Timu za biashara,akiwa Mara ...juzi kachangia milioni 20 pamba anapambania ipande Daraja
Sent using Jamii Forums mobile app
Barabara hiyoooooo........