Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
This is nice,Hili ndio soko la machinga ? Linalojengwa?View attachment 2401330
This is nice,Hili ndio soko la machinga ? Linalojengwa?View attachment 2401330
Likiisha litakuwa poa sana simple and standard.Hili ndio soko la machinga ? Linalojengwa?View attachment 2401330
Yap ndo hilohilo ila litajengwa pote hapo machinga walipoweka vibanda vyaoLikiisha litakuwa poa sana simple and standard.
Huo urefu niliupima ni kama mita 200Hili ndio soko la machinga ? Linalojengwa?View attachment 2401330
Wewe hufai, kupiga picha tu unaona aibuNi zuri sana aisee hapohapo mchafukuoga kuna mchoro wake mzima soko litakavyokuwa baada ya kuisha ni tamu balaa
Sio sheli eneo ni dogo sana kwa sheli ni mjengo unanyanyukaUsikute hii sheli
Hapa ni wapi alaf mchafu koga hata spajui😊Hili ndio soko la machinga ? Linalojengwa?View attachment 2401330
Igogo hii ,,jirani na voilHapa ni wapi alaf mchafu koga hata spajui![]()
Alishasema simu anayotumia camera yake inaukungu😂😂😂Wewe hufai, kupiga picha tu unaona aibu
Gorofa la mmoja wa wamiliki wa Kamanga Hospital
Tatizo huko majengo ni sehemu ya watu wenye uwezo sana, nilienda kuulizia kiwanja vha 20*20 nikaambiwa 45milioni nikasema huku si size yangu lakini haya maeneo wamejenga sana na huku ndio anaishi mbunge wetu mh Stanslaus Mabula na mbunge wa Bunda
Mi mwenyewe sipajui😂😂Hapa ni wapi alaf mchafu koga hata spajui😊
Kasema watu walikuwa wanamuangalia akaona soo😄😄Alishasema simu anayotumia camera yake inaukungu😂😂😂
Kumbe unazijua picha tu ila maeneo huyajui ......inabidi urudi bongo bwana hata Kwa wiki 2 ...,,,uje uwafunze lugha ya kisukuma kidogo watoto wakoMi mwenyewe sipajui![]()

Najua maeneo mengiKumbe unazijua picha tu ila maeneo huyajui ......inabidi urudi bongo bwana hata Kwa wiki 2 ...,,,uje uwafunze lugha ya kisukuma kidogo watoto wako![]()
Kabla ya hapo alishaleta excuse kuwa camera ya simu haieleweki ina ukungu😂😂😂😂😂Kasema watu walikuwa wanamuangalia akaona soo😄😄
Kumbe bado upo ughaibuni?Najua maeneo mengi