Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,157
- 6,163
Sunk shosti lazima asonyee hii

Sunk shosti lazima asonyee hii

Kakimbia, mimi huwa naenda na picha tu utatoroka.Sunk shosti lazima asonyee hii![]()
Njiro na Bwiru, Bwiru pa kishua sanaHii picha ukiwa piga nayo wale wa Nyanda za juu utakuwa unawaonea🤣🤣🤣
Wape hizi za bwiru zinawatosha
View attachment 2399891
View attachment 2399892
Kuna sehemu sasa hv panaitwa ibanda ngoja ile Lami iisheNjiro na Bwiru, Bwiru pa kishua sana
Capri point ndogo ile 😀 😀 😀 😀Kuna sehemu sasa hv panaitwa ibanda ngoja ile Lami iishe
Hivi Ibanda na Kabuhoro ni maeneo tofauti?Capri point ndogo ile 😀 😀 😀 😀
af kuna wapumbavu wanailinganisha mwanza na mbeya au Dodoma
Achana na Farasi, wenye akili zao wako kimyaaf kuna wapumbavu wanailinganisha mwanza na mbeya au Dodoma
Kirumba upande wa pili wa mlimaHivi Ibanda na Kabuhoro ni maeneo tofauti?
Je ni maeneo mawili tofauti?Kirumba upande wa pili wa mlima
Kata ni ya Kirumba, ila mtaa ni Ibanda, ukitoka Kabuhoro, Unakutana na Songambele, ndio Ibanda. Wengi tukiwa Mwanza mjini tunaiona Kirumba Mlimani, sasa upande wa pili wa mlima ndio Ibanda yenyewe inaangaliana na ziwaJe ni maeneo mawili tofauti?
Ukiwa na pesa nyingi , Bwiru na kirumba ndo Mitaa ya kishua Sana , alaf upepo mwanana ... Hlo eneo Lina high class na middle class wengi SanaKata ni ya Kirumba, ila mtaa ni Ibanda, ukitoka Kabuhoro, Unakutana na Songambele, ndio Ibanda. Wengi tukiwa Mwanza mjini tunaiona Kirumba Mlimani, sasa upande wa pili wa mlima ndio Ibanda yenyewe inaangaliana na ziwa
Usikute hii sheli
picha ingekuwa ni ya mchana tungeweza kutambua leo itabidi nikachungulie na mimi kuosha macho.Usikute hii sheli
mbona kwenye hizi picha sioni uzio wa mradi sijaona substructure ya mradi, bango la maelezo na mradi kama vile upo wazi.