Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Safi sana, kumependezaNimerudi jijini... kumbe washaanza kuweka taa wameanzia airport hadi iloganzaraView attachment 2399582
Safi sana, kumependezaNimerudi jijini... kumbe washaanza kuweka taa wameanzia airport hadi iloganzaraView attachment 2399582
nazani mzee wa maphoto umerudi sasa fanya kutembelea miradi ya jiji na maeneo mbalimbli utupe mirejesho kwa njia ya picha🙏🙏Nimerudi jijini... kumbe washaanza kuweka taa wameanzia airport hadi iloganzaraView attachment 2399582
HIV iloganzala na lumala ni maeneo tofauti? Au pale paleNimerudi jijini... kumbe washaanza kuweka taa wameanzia airport hadi iloganzaraView attachment 2399582
Ujenz upo vzur sana kwa Kasi Sana pale watajenga na stand ya Hiace nzur sanasasa wamefikia hatua gani za ujenzi ili nikifika nipige picha ya mnyato.
Hapo wametisha sanaaNimerudi jijini... kumbe washaanza kuweka taa wameanzia airport hadi iloganzaraView attachment 2399582
Ni tofauti ,lumala ni ile junction ya barabara inayokutana na nyasakaHIV iloganzala na lumala ni maeneo tofauti? Au pale pale
Aisee ..pale redio free ni ilemela au iloganzala.maana mm najuaga baada ya pasiansi ni sabasaba ilemela then ilemela kanisaniNi tofauti ,lumala ni ile junction ya barabara inayokutana na nyasaka
Huku ilongazala ni baada ya mataa ya pansiansi kuelekea 7/7
Hapo radio free huwa ni ilemela, inaanza pansians then ilongazala pale shuleni kwenye taa za wenda kwa miguu then inafata sabasaba, ilemela, afu kanisani nkAisee ..pale redio free ni ilemela au iloganzala.maana mm najuaga baada ya pasiansi ni sabasaba ilemela then ilemela kanisani
Haya ndio mambo ya msingi.Ujenz upo vzur sana kwa Kasi Sana pale watajenga na stand ya Hiace nzur sana
HIV iloganzala na lumala ni maeneo tofauti? Au pale pale
Lumala ndo nasikia Kuna nyumba Kali wilaya yote ya ilemelaNi maeneo tofauti sana, lumala imepakana na kiseke na pasiansi, lakini iloganzala imepakana na sabasaba na pasiansi ipo katikati.
Ilemela yenyewe, inakuja Bwiru na Nyasaka. Lumala kwa kawaida sanaLumala ndo nasikia Kuna nyumba Kali wilaya yote ya ilemela
Lumala, nyasaka na bwiru ni hatari na panatisha kwa majumba na hali ya hewa bora kabisaa.Lumala ndo nasikia Kuna nyumba Kali wilaya yote ya ilemela
Lumala sio ya kawaida mkuu, pakawaida ni nyamhogolo, buswelu n.kIl
Ilemela yenyewe, inakuja Bwiru na Nyasaka. Lumala kwa kawaida sana
Sisi wa bungulwa kwimba tucoment wapLumala, nyasaka na bwiru ni hatari na panatisha kwa majumba na hali ya hewa bora kabisaa.

Safi sana hii view, tungepata majengo mengine ya aina hii hata floor 20+ hili jiji lingevutia zaid ya hapa.
Msiwaze nishatia teamnazani mzee wa maphoto umerudi sasa fanya kutembelea miradi ya jiji na maeneo mbalimbli utupe mirejesho kwa njia ya picha![]()