Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Buhongwa.Anayejua hii shell ya fresters ipo maeneo gani hapo mwanza ,anitajie plizView attachment 2397844View attachment 2397845
Buhongwa.Anayejua hii shell ya fresters ipo maeneo gani hapo mwanza ,anitajie plizView attachment 2397844View attachment 2397845
Waache uhuni hayo mabilion ya pesa wanataka kuyapeleka wapi? Au wanataka kupanda miti kwa bilion 76.Sasa hotel ,,,sio environment friendly project na ndio maana hata tilapia na malaika ziliwahi pata mgogoro wa kuwa demolished na Sheria ya mazingira
Oh sawa....Buhongwa.
Hizo zinapigwa tu ...na ushaambiwa Kuna mradi wa kupanda miti milioni Moja mkoa wa mwanzaWaache uhuni hayo mabilion ya pesa wanataka kuyapeleka wapi? Au wanataka kupanda miti kwa bilion 76.
Hako kasanamu ka samaki kamekaa poa sana.Amazing GATE ...Ina sounds poa sana View attachment 2397851
Hakuna balozi wa ubelgiji anasema ni kuboresha miundombinu na masokoUshaambiwa ni mradi wa green ... project zake ziende kwenye sekta ya mazingira,,,,maybe hyo parks saw.pamoja na uboreshaji fukwe
Tueleze vizuri ni mitaa gani hasa maarufu ambayo iko jirani na mchafukoga?nipo hapa mchafukuoga machinga complex inayojengwa hapa ni Bab kubwa mkandarasi ni mohamed builders
nipo hapa mchafukuoga machinga complex inayojengwa hapa ni Bab kubwa mkandarasi ni mohamed builders
Kuchukua picha imeshindikana ila kitu kimesimama sana af ni kubwa balaa likiisha watu 3000 wanaingia kufanya biasharaPicha muhimu kaka.
Ila kuna sehemu nilisoma walimchukua aliedesign ya Dom ndio kadesidgn na hii
Ya Dom kajenga mohamed builders na hii ni huyohuyoPicha muhimu kaka.
Ila kuna sehemu nilisoma walimchukua aliedesign ya Dom ndio kadesidgn na hii
ipo maeneo ya igogoTueleze vizuri ni mitaa gani hasa maarufu ambayo iko jirani na mchafukoga?
Aha sawa asanteh sana! Zilikuwa naisikia tu ila maeneo ilipo nilikuwa sijui!ipo maeneo ya igogo
design yake ipoje? nashauri kamanda wangu huwe unajitaidi ata picha.ipo maeneo ya igogo
Humu ndani mmepoa ...ebu changamkeni na hii drone footage![]()
sasa wamefikia hatua gani za ujenzi ili nikifika nipige picha ya mnyato.Kuchukua picha imeshindikana ila kitu kimesimama sana af ni kubwa balaa likiisha watu 3000 wanaingia kufanya biashara