Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Barabara za tanroad..Huwa zinafadhiliwa na budget,au road fund ...sasa bajeti tayari ishapita.subiri next bajeti..Kwa mwaka huu imetengwa kama bilion 5 kwenye hyo barabara Kwa ajili ya mantainance na upembuzi yakinifu...
 
Waziri anatuchanganya tu ,,,,Kwa sababu tanroads wenyewe wamepanga kuweka taa za barabarani mwaka huu sasa kama Kuna plan ya ujenzi hizo taa za kazi Gani
 
Waziri anatuchanganya tu ,,,,Kwa sababu tanroads wenyewe wamepanga kuweka taa za barabarani mwaka huu sasa kama Kuna plan ya ujenzi hizo taa za kazi Gani
😄😄😄😄😄😄 hata mm nachoka cha kushukuru upembuzi umeisha na hii road ni muhimu sana
 
Inatakiwa hivyo, daraja likikamilika kabla ya barabara ujenzi pia wa barabara utakuwa mgumu na wa gharama sana. Ongezeko la magari litakuwa kubwa. Inawezekana hata njia mpya za Mabasi zikaanzisha, Bariadi - Geita, Bariadi -Bukoba, Shinyanga - Geita, Bado gari za mizigo. Mombasa-Kigali/ Congo
Hivi ule mpango wa njia nne Mwanza to kigongo uliishia wapi?
 
Kumbe ule mradi waliotoa EU wa kuboresha green city za mwanza,tanga na pemba ni real zimetolewa euro milion 75 kwa hyo miji 3 na halmashauri husika zimeambiwa ziandae mapendekezo ya namna ya kuboresha miji yao
 
Screenshot_20221023-221131_Chrome.jpg
Screenshot_20221023-220939_Chrome.jpg
Screenshot_20221023-220410_YouTube.jpg
 
Kumbe ule mradi waliotoa EU wa kuboresha green city za mwanza,tanga na pemba ni real zimetolewa euro milion 75 kwa hyo miji 3 na halmashauri husika zimeambiwa ziandae mapendekezo ya namna ya kuboresha miji yao
Kwa izo pesa napendekeza barabara ya Kenyatta ianze kujengwa, Tampere park na stand ya daladala Nata
 
Back
Top Bottom