Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Stendi ya sgr itajengwa kwenye zile nyumba za polisi station road na hizo nyumba zinavunjwa zote kuna ndugu yangu anaishi pale kanambia wanatakiwa kuhama mapema..ila patapendeza sana hayo maeneo maana kuna mahotel tatizo ni vinyumba vya tanroads hapo
 
Stendi ya sgr itajengwa kwenye zile nyumba za polisi station road na hizo nyumba zinavunjwa zote kuna ndugu yangu anaishi pale kanambia wanatakiwa kuhama mapema..ila patapendeza sana hayo maeneo maana kuna mahotel tatizo ni vinyumba vya tanroads hapo
Ndio inapojengwa hapo
 
Hata hizi stesheni kuwa nzuri ni sababu ya kina Kadogosa na yule jamaa anaitwa masanja, hivi hivi tungepigwa stesheni za ajabu na treni ingekomea Fela
Hahaaa Mkurugenzi wa TRC anaitwa Masanja Kungu Kadogosa kwahiyo hayo majina uliyoyataja niya mtu mmoja...
 
Nimeangalia vizuri michoro ya hii viaduct, kwanza kabisa nilichogundua haitafuata njia ya zamani bali itavuka barabara kabla ya kufika vicfish.
_20221023_014230.JPG



_20221023_013729.JPG

Ukiangalia hii picha utaona barabara iko katikati ya mgr na sgr.

_20221023_014435.JPG

Kwenye hii picha utaona reli ya zamani ikiwa imefanya matawi hii ina maana hapa ni mwanza south na ndio ikapoanzia kushuka chini na kuingia bandarini pia.

Nilipotoa proposal yangu ya kupitisha barabara huku upande wa ziwani kuna mtu alisema kumebanana, ila kwa jinsi inavyoonekana upande huo wa ziwani kuna structure nyingi zinaenda kubomolewa kupisha sgr.
 
Nimeangalia vizuri michoro ya hii viaduct, kwanza kabisa nilichogundua haitafuata njia ya zamani bali itavuka barabara kabla ya kufika vicfish.
View attachment 2395056


View attachment 2395059
Ukiangalia hii picha utaona barabara iko katikati ya mgr na sgr.

View attachment 2395057
Kwenye hii picha utaona reli ya zamani ikiwa imefanya matawi hii ina maana hapa ni mwanza south na ndio ikapoanzia kushuka chini na kuingia bandarini pia.

Nilipotoa proposal yangu ya kupitisha barabara huku upande wa ziwani kuna mtu alisema kumebanana, ila kwa jinsi inavyoonekana upande huo wa ziwani kuna structure nyingi zinaenda kubomolewa kupisha sgr.
Kwa ambae ameona video ya reli Tv ya juzi kuna engineer anaelezea kuwa daraja litaanzia mswahili pale walipoweka mabati Hadi chakechake
 
Hivi Tabora Isaka kapewa nani?
Mimi naona angepewa mchina tu, na tabora kigoma wampe mchina. Nimeanza kumpenda mchina, Yapi yuko vizuri tatizo vituo
 
_20221023_091947.JPG

Nimeangalia hii picha, uwanja wa Nyamagana umebanana sana kujenga majukwaa na Parking za magari.
Wazo langu halmashauri ya jiji waongee na watu wa posta na simu, pamoja na uhamiaji ikiwezekana hata tamesa pia, wote hawa wahame.

Pale Nera kuna vijumba vimechoka, jiji wajitoe muhanga kununua hivyo vijumba kisha wayape hayo mashirika niliyoyataja wajenge ofisi, na nahisi watajenga maghorofa mazuri
 
Hivi Tabora Isaka kapewa nani?
Mimi naona angepewa mchina tu, na tabora kigoma wampe mchina. Nimeanza kumpenda mchina, Yapi yuko vizuri tatizo vituo
Vipande vyote kapewa mturuki Yapi Merkazi isipokua hicho cha tano (Mwanza - Isaka)

 
Vipande vyote kapewa mturuki Yapi Merkazi isipokua hicho cha tano (Mwanza - Isaka)

Lete source ya serikali, hii ni mawazo ya mwandishi tu, ndio maana kaandika phase 5 iko kwenye procurement stage, hii inaonyesha hajui lolote.
 
View attachment 2395313
Nimeangalia hii picha, uwanja wa Nyamagana umebanana sana kujenga majukwaa na Parking za magari.
Wazo langu halmashauri ya jiji waongee na watu wa posta na simu, pamoja na uhamiaji ikiwezekana hata tamesa pia, wote hawa wahame.

Pale Nera kuna vijumba vimechoka, jiji wajitoe muhanga kununua hivyo vijumba kisha wayape hayo mashirika niliyoyataja wajenge ofisi, na nahisi watajenga maghorofa mazuri
Ni kweli Mkuu, Nera na Kirumba sasa hivi kuna mitaa hawatoi building permit kama unajenga Nyumba ya kawaida. Ndio maana Nyumba nyingi zimechoka renovation kubwa hupewi permit
 
Back
Top Bottom