Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery


Ila watu wa nyegezi siwawezi, mnatuambia maghorofa yanaibuka kama uyoga nyegezi kumbe hamna kitu.
Maeneo yanayozunguka stendi Nyamhongolo iko Well organized kushinda Nyegezi.
Kwenye maandishi neno NYeGEZI
Hiyo herufi e taa zishakufa tayari.

Nilichopenda ni kuweka baadhi ya maduka kufungukia nje

But ukiachana na mengineyo kiukwel stand inabamba🔥🔥
 
Nyegezi sasa hv project za magorofa ni nyingi pale karibu na gbp wanajenga gorofa,karibu na nyabulogoya napenyewe hvyhvy
ni kweli kabisa boss kwa ujumla hali ni nzuri sana na future ya mwanza ni nzuri sana kwa ujumla naweza kusema mwanza ni dar ndogo ya Tanania.
 
Sanki farasi ana wivu na mwanza
Huo ni zaidi ya wivu ni roho mbaya
 
Upande wa airport wanajivunia gana Hadi pasiansi wakat kenyata kuanzia nyegezi kona mpk buhongwa ukipita night unasema huku ndo penyewe na ngoja ile mkuyuni iishe reli ya sgr mkuyuni itabadilika sana
 
Huyo Sunk huwa anatatizo la afya ya akili anafananisha mwanza na kijiji cha Mbeya, Kwa ujumla watu wengi huwa wanachuki sana na Mwanza.Ila Mwanza haiepikiki maana ukuaji wake ni mkubwa sana.
Ili jambo ni fikirishi ata mradi mkubwa ukiletwa Mwanza wataanza kuponda wakizani Mwanza inafanana na miji yao na wanaitaji kupata sawa na Mwanza.
 
Ili jambo ni fikirishi ata mradi mkubwa ukiletwa Mwanza wataanza kuponda wakizani Mwanza inafanana na miji yao na wanaitaji kupata sawa na Mwanza.
Kwa ujumla Mwanza hapo ilipo ilishacheleweshwa sana mkuu, mfano kama Mwanza tokea mialka ya 70 ingekuwa na chuo kikuu kikubwa kama UDOM isinge kuwa tofauti na Dar, Pia unavoona watu walivyo na chuki na Mwanza mitandaoni pia ujue kuna watu hata kwenye mashirika kama NHC wanachuki sana na Mwanza ndo maana kila leo kuleta Mwanza miradi isiyo na kichwa wala miguu.
 
Kwa ujumla Mwanza hapo ilipo ilishacheleweshwa sana mkuu, mfano kama Mwanza tokea mialka ya 70 ingekuwa na chuo kikuu kikubwa kama UDOM isinge kuwa tofauti na Dar, Pia unavoona watu walivyo na chuki na Mwanza mitandaoni pia ujue kuna watu hata kwenye mashirika kama NHC wanachuki sana na Mwanza ndo maana kila leo kuleta Mwanza miradi isiyo na kichwa wala miguu.
Chuki na mwanza imekuja baada ya magu kuwa Raisi watu walifikir anaipendelea mwanza kitu ambacho sicho issue ile ya bomoabomoa ya watu wa Karibu na airport ya mwanza magu alivyokataa wakat huohuo maeneo mengine kama kimara yanabomolewa kitu kingine ni ile issue ya machinga kuondolewa ondolewa mwanza had magu akaitisha kikao cha makamu wa Raisi na viongozi wengine machinga wasifukuzwe ni bora wauvunje uwanja wa nyamagana kuwa ya wamachinga
 
Back
Top Bottom