Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

ila naona daraja la kigongo busisi litakamilika kwa wakati ila waziri mkuu kazisisitiza halmashauri za misungwi na sengerema wapime maeneo ya karibu na daraja watu wajenge hotel za kitalii kwan daraja lenyewe ni la kitalii
 
Ningekuwa ni mkuu wa mkoa ningechombeza swali kwa waziri mkuu kuhusiana na upanuzi wa barabara ya kenyatta pamoja muendelezo wa jengo la abiria uwanja wa ndege.
 
Nimesikia maelezo juu ya mrad wa reli kwny ziara ya waziri mkuu ni kuwa terminal ya fela itakuwa na uwezo wa kubeba abiria 500 ila design ya terminal ya mwanza itakuwa kama miamba fulan ila hawajasema itakuwa na uwezo wa kubeba abiria wangap pia wamesema pale maeneo ya kuingia mjin watajenga daraja la juu la km 1.4 litakuwa daraja refu la pili kwny mrad wa reli baada ya la Dar lenye urefu wa km2.5
 
Nimesikia maelezo juu ya mrad wa reli kwny ziara ya waziri mkuu ni kuwa terminal ya fela itakuwa na uwezo wa kubeba abiria 500 ila design ya terminal ya mwanza itakuwa kama miamba fulan ila hawajasema itakuwa na uwezo wa kubeba abiria wangap pia wamesema pale maeneo ya kuingia mjin watajenga daraja la juu la km 1.4 litakuwa daraja refu la pili kwny mrad wa reli baada ya la Dar lenye urefu wa km2.5
Nataka kuuliza pale mkuyuni walipoweka mabati ndio ujenzi wa daraja la juu la sgr unaanza au?
 
Nyamagana naona wamepewa 3.9bn kwa ajili ya madarasa ya secondary 198 ndio halmashauri iliyopata pesa nyingi kuliko nyingine
 

Kitombile uache uchawi wako wa Kuwaza vitu vidogo eti njia nne zianzie mkuyuni kisa unaogopa bomoabomoa.

Sasa BRT tutajengaje tukiogopa bomoabomoa,
Kubomoa kuna saidia kureshape mji.

Mradi unaanza lini mkuu?? Na barabara ya mkuyuni adi nyakato ujenzi utaanza lini?
 

Kitombile uache uchawi wako wa Kuwaza vitu vidogo eti njia nne zianzie mkuyuni kisa unaogopa bomoabomoa.

Sasa BRT tutajengaje tukiogopa bomoabomoa,
Kubomoa kuna saidia kureshape mji.

😆😆😆 kuna magorofa hapo pepsi na matank ya GBP, cha msingi maeneo hayo waweke barabara za juu🤣🤣🤣
 
Waziri mkuu ameupiga mwingi sana kwny daraja la kigongo busisi akasema wameshamaliza kujenga nguzo za daraja sasa hv wanaweka vyumba kwa ajili ya kushikilia Lami itakayowekwa
 
Back
Top Bottom