Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Kwa sasa hivi sidhani kama nafasi itapatikana ya kutoa aridhi ya chuo Kikubwa ndani ya jiji. Hii yote ni kutokana na miji yetu kutokutunza aridhi kwa ajili ya project maalum. Chuo kikijengwa labda Misungwi/ Magu/ Sengerema
Yaani sisi huwa tunaima viwanja vya nyumba na kuuza vyote hatuwazi kuhifadhi maeneo kwa miradi mikubwa ya baadae.
Inatakiwa kila kata tuhifadhi ardhi
 
Kwa sasa hivi sidhani kama nafasi itapatikana ya kutoa aridhi ya chuo Kikubwa ndani ya jiji. Hii yote ni kutokana na miji yetu kutokutunza aridhi kwa ajili ya project maalum. Chuo kikijengwa labda Misungwi/ Magu/ Sengerema
Labda kijengwe Isebanda
 
Kwa sasa hivi sidhani kama nafasi itapatikana ya kutoa aridhi ya chuo Kikubwa ndani ya jiji. Hii yote ni kutokana na miji yetu kutokutunza aridhi kwa ajili ya project maalum. Chuo kikijengwa labda Misungwi/ Magu/ Sengerema
Ilemela wana utajiri wa ardhi mkuu.
 
Kiongozi kanda nzima ya ziwa haina chuo kikuu cha serikali ata kimoja, hii ni hatari sana.
Sioni ulazima wa kuwepo chuo kikuu Cha serikali kama Kuna vyuo vikuu vya private vyenye ubora pamoja na taasisi zinazotoa mafunzo katika fani mbali mbali za elimu ya juu....maybe tu useme ni sifa ...
Katika fani ya afya Kuna CUHAS
fani ya teknolojia Kuna. DIT
fani ya biashara Kuna TIA ,CBE na IFM
fani ya mipango na maendeleo ya jamii Kuna IRDP
fani za sayansi ya jamii , humanity n.k Kuna SAUT .
katika suala la elimu ya juu hatuko nyuma sana kikubwa maboresho tu yafanyike
 
Sioni ulazima wa kuwepo chuo kikuu Cha serikali kama Kuna vyuo vikuu vya private vyenye ubora pamoja na taasisi zinazotoa mafunzo katika fani mbali mbali za elimu ya juu....maybe tu useme ni sifa ...
Katika fani ya afya Kuna CUHAS
fani ya teknolojia Kuna. DIT
fani ya biashara Kuna TIA ,CBE na IFM
fani ya mipango na maendeleo ya jamii Kuna IRDP
fani za sayansi ya jamii , humanity n.k Kuna SAUT .
katika suala la elimu ya juu hatuko nyuma sana kikubwa maboresho tu yafanyike
Mi nilihitaji kujiendeleza kielimu huku nikifanya kazi katika course za Engineering lakini nilishindwa sababu hakuna chuo kinacho toa hizo course hapo Mwanza na hata mikoa ya jirani kwahiyo kua na chuo kikuu ukanda huu haswa Mwanza ni muhimu sana tunakosa fursa nyingi kutoka a na kushindwa kujiendeleza...
 
Huwa na waza kwanini ile DIT Mwanza Campus isingefanya taasisi inayojitegemea ikaitwa Mwanza Institute of Technology au Mwanza College Of Engineering wakapewa lile eneo lote hadi pale kilipokua kiwanda cha ngozi, wakajenga majengo yao kwa awamu saizi wangekua mbali sana maana toka DIT wamekabidhiwa hilo eneo na Rais wa awamu ya nne mwaka 2011 hadi leo ni miaka mingi sana ingesaidia kupunguza population kwenye vyuo vyetu vya engineering Arusha Tech, iliokua Mbeya Inst of Tech na hasa pale DIT penyewe maana eneo ni finyu sana pale...
 
Huwa na waza kwanini ile DIT Mwanza Campus isingefanya taasisi inayojitegemea ikaitwa Mwanza Institute of Technology au Mwanza College Of Engineering wakapewa lile eneo lote hadi pale kilipokua kiwanda cha ngozi, wakajenga majengo yao kwa awamu saizi wangekua mbali sana maana toka DIT wamekabidhiwa hilo eneo na Rais wa awamu ya nne mwaka 2011 hadi leo ni miaka mingi sana ingesaidia kupunguza population kwenye vyuo vyetu vya engineering Arusha Tech, iliokua Mbeya Inst of Tech na hasa pale DIT penyewe maana eneo ni finyu sana pale...
Hata hvyo .hyo ndio mipango yenyew
 
Inabidi akija mwanza tumchane, tunataka chuo kikuu kikubwa misiri ya UDSM tupate hata foreign students
Niliwahi sikia ,.. kwenye habari serikali imepanga kujenga chuo kikuu Cha waendesha mashtaka .. Tanzania institute of prosecution .na eneo wanalo Usagara .. vilevile wakati ndalichako ni waziri aliwahi ulizwa na mtangazaji hapa mwanza kuhusu chuo kikuu akasema wana mpango kukipanua chuo Cha ukiriguru kuwa chuo kikuu Cha serikali hapo baadae
 
Daraja litapendeza .swali langu ikitokea meli inataka kwenda upande wa pili wa daraja itapitaje Kwa sababu naona daraja kimo chake sio kirefu San
1665929238955.jpg
 
Back
Top Bottom