Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Mkuu wizara na bunge ikaona barabara kuu ya kenyatta isubiri kwanza, wajenge ya igawa adi tunduma 200+ dual carriage ndio ya muhimu zaidi kuliko ya Mwanza ambayo ina mashimo na makorongo toka enzi ya hayati babu makapa.Bunge na wizara
