Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza, asilimia kubwa hawamkubali Samia kuanzia watu wa chini Hadi wa juu .. sukuma gang wamewekeza pakubwa huku na wamebrainwash vichwa vya watu ajabu na Samia analijua Hilo ......na ndio maana anatuma wasaidizi wake kuja kusafisha njia ...Geita power Yao kisiasa ni ndogo ukilinganisha na Mwanza ....na JPM alipendwa mwanza kuliko hata geita
Hili nalo neno.
 
Kuna muda walidai pump imeharibika, ila shida ni kutokana na ukuaji wa jiji la Mwanza asee, ngoja tusubiri mradi wa butimba, kwasababu chanzo cha capripoint kilijengwa 1958 wakati huo mwanza ilikuwa ni kama manispaa ndogo sana.
Mbona mtandaon malalamiko kibao ...maji mwanza shida Kila sehemu ...wa
 
Sorry mwenye picha ya jengo la eckacliff isamilo..naomba aitume na shida nayo mahala ..
 
,,,,sio kununua mzee .....nasubiri manispaa Mpya ya kisesa ndo tuhamie kwenye fursa mpya
Hiyo badobado na kuna siasa nyingi ndani yake, inaweza kutokea lakini sioni ikitokea kabla ya 2025
 
Mwanza, asilimia kubwa hawamkubali Samia kuanzia watu wa chini Hadi wa juu .. sukuma gang wamewekeza pakubwa huku na wamebrainwash vichwa vya watu ajabu na Samia analijua Hilo ......na ndio maana anatuma wasaidizi wake kuja kusafisha njia ...Geita power Yao kisiasa ni ndogo ukilinganisha na Mwanza ....na JPM alipendwa mwanza kuliko hata geita
Hata huko Geita anajaribu kujipendekeza kwa sababu kiuhalisia kanda ya ziwa imejikatia tamaa na mama.
Kuna ndugu zangu walishapewa mshiko wakapelekwa kwenye moja ya mikutano yake ili kuonyesha ana watu.

Atajitahidi walau aanze barabara moja hata kama ni kwa kusuasua la sivyo hali itakuwa si nzuri kwenye uchaguzi.
 
Screenshot_20221015-230114~2.png

Wag Hill wamejenga football pitch hotelini kwao
 
Hata huko Geita anajaribu kujipendekeza kwa sababu kiuhalisia kanda ya ziwa imejikatia tamaa na mama.
Kuna ndugu zangu walishapewa mshiko wakapelekwa kwenye moja ya mikutano yake ili kuonyesha ana watu.

Atajitahidi walau aanze barabara moja hata kama ni kwa kusuasua la sivyo hali itakuwa si nzuri kwenye uchaguzi.
Hakika
 
Hata huko Geita anajaribu kujipendekeza kwa sababu kiuhalisia kanda ya ziwa imejikatia tamaa na mama.
Kuna ndugu zangu walishapewa mshiko wakapelekwa kwenye moja ya mikutano yake ili kuonyesha ana watu.

Atajitahidi walau aanze barabara moja hata kama ni kwa kusuasua la sivyo hali itakuwa si nzuri kwenye uchaguzi.
Jana watu wamesafirishwa kwa mabasi bure kutoka katoro to Geita wakaahidiwa kuwaona Harmonize na Zuchu.
 
Mwanza ingekuwa na chuo kikuu cha serikali mkoa ungekuwa umepiga mbali sana kimaendeleo na fursa zingekuwa nyingi na population ingeongezeka sana
Kwa sasa hivi sidhani kama nafasi itapatikana ya kutoa aridhi ya chuo Kikubwa ndani ya jiji. Hii yote ni kutokana na miji yetu kutokutunza aridhi kwa ajili ya project maalum. Chuo kikijengwa labda Misungwi/ Magu/ Sengerema
 
Kwa sasa hivi sidhani kama nafasi itapatikana ya kutoa aridhi ya chuo Kikubwa ndani ya jiji. Hii yote ni kutokana na miji yetu kutokutunza aridhi kwa ajili ya project maalum. Chuo kikijengwa labda Misungwi/ Magu/ Sengerema
Kijengwe Magu au Misungwi ni sawa tu kikubwa kipo ndani ya mkoa wa Mwanza, Wakijenga kisesa au Usagala sioni tatizo kwa kuwa maeneo yote ni kama yapo ndani ya jiji.
Ila Sengerema hapana iko mbali mno na muda wowote inaweza kuhamishwa mkoa
 
Back
Top Bottom