Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Hili nalo neno.Mwanza, asilimia kubwa hawamkubali Samia kuanzia watu wa chini Hadi wa juu .. sukuma gang wamewekeza pakubwa huku na wamebrainwash vichwa vya watu ajabu na Samia analijua Hilo ......na ndio maana anatuma wasaidizi wake kuja kusafisha njia ...Geita power Yao kisiasa ni ndogo ukilinganisha na Mwanza ....na JPM alipendwa mwanza kuliko hata geita
