Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

BARABARA YA KENYATA
upanuzi wa barabara umekuwa ni kilio Cha wengi .. barabara hii ni njia ya kuingilia mwanza kutokea karibu mikoa yote ya Tanzania isipokuwa simiyu na Mara ..licha ya kuwa lango kuu la usafirishaji mwanza lakin ndio barabara yenye mwonekano wa kizamani usio endana na majiji ya kisasa nasema HIV sio Kwa sababu tu hii njia sio dual carriage pia mifumo yake ya kiusalama ni mibovu na haiendani na wakati pamoja na mahitaji wa watu ..Hali hii inadhihirishwa na ukosefu taa za kumlikia magari,alama za barabarani,uchakavu wa lami (kuanzia buhongwa Hadi nyegezi) n.k .....
Serikali bado inatafuta pesa za ujenzi wa barabara hii lakini Kuna changamoto kubwa katika ujenzi wa barabara hii ambazo ni
-kuanzia Pepsi Hadi voil itabidi walipe mabilion ya fidia kuondoa viwanda na majengo yaliyopo hapo
-mkuyuni napo sioni nafasi ya kutosha ya ujenzi
Buhongwa na mkolani Kuna sheli za kutosha kwenye hifadhi ya barabara..hata nyegezi terminal ukuta wake uko barabarani ....
Kwa factor hizi serikali itachelewa sana kujenga hii barabara....
USHAURI
kama serikali haina pesa za kutosha bas waboreshe hii road Kwa kuweka mifumo yote Ya usalama barabarani...na kujenga feeder road za mkuyuni Hadi nyakato, buhongwa to igoma ,na butimba via saut to mkolani
PSX_20221015_223340.jpg
PSX_20221015_223408.jpg
 
Nyegezi magorofa yananyanyuka sio mchezo hapo karibu na sheli ya GBP wamezungushia mabati kuna kitu kitaanza kunyanyuka soon
Kiongoz hivi yale mabati yaliyowekwa mkuyuni kuelekea mswahili usawa wa reli ni nini? Je ni ujenzi wa sgr? Je ni ujenzi wa tuta? Je ni ujenzi flyover ya kupitisha train? Au ni nini? Naombeni mnitoe tongotongo.
 
Kiongoz hivi yale mabati yaliyowekwa mkuyuni kuelekea mswahili usawa wa reli ni nini? Je ni ujenzi wa sgr? Je ni ujenzi wa tuta? Je ni ujenzi flyover ya kupitisha train? Au ni nini? Naombeni mnitoe tongotongo.
pale ni ujenz wa sgr umeanza watu wameanza kubomoa nyumba zao
 
BARABARA YA KENYATA
upanuzi wa barabara umekuwa ni kilio Cha wengi .. barabara hii ni njia ya kuingilia mwanza kutokea karibu mikoa yote ya Tanzania isipokuwa simiyu na Mara ..licha ya kuwa lango kuu la usafirishaji mwanza lakin ndio barabara yenye mwonekano wa kizamani usio endana na majiji ya kisasa nasema HIV sio Kwa sababu tu hii njia sio dual carriage pia mifumo yake ya kiusalama ni mibovu na haiendani na wakati pamoja na mahitaji wa watu ..Hali hii inadhihirishwa na ukosefu taa za kumlikia magari,alama za barabarani,uchakavu wa lami (kuanzia buhongwa Hadi nyegezi) n.k .....
Serikali bado inatafuta pesa za ujenzi wa barabara hii lakini Kuna changamoto kubwa katika ujenzi wa barabara hii ambazo ni
-kuanzia Pepsi Hadi voil itabidi walipe mabilion ya fidia kuondoa viwanda na majengo yaliyopo hapo
-mkuyuni napo sioni nafasi ya kutosha ya ujenzi
Buhongwa na mkolani Kuna sheli za kutosha kwenye hifadhi ya barabara..hata nyegezi terminal ukuta wake uko barabarani ....
Kwa factor hizi serikali itachelewa sana kujenga hii barabara....
USHAURI
kama serikali haina pesa za kutosha bas waboreshe hii road Kwa kuweka mifumo yote Ya usalama barabarani...na kujenga feeder road za mkuyuni Hadi nyakato, buhongwa to igoma ,na butimba via saut to mkolaniView attachment 2388449View attachment 2388450
Upanuzi walisema utaanzia mkuyuni.
 
Sawa sgr nini? Tuta, flyover ili magari yapite chini alafu train ipite juu au nini?
 
BARABARA YA KENYATA
upanuzi wa barabara umekuwa ni kilio Cha wengi .. barabara hii ni njia ya kuingilia mwanza kutokea karibu mikoa yote ya Tanzania isipokuwa simiyu na Mara ..licha ya kuwa lango kuu la usafirishaji mwanza lakin ndio barabara yenye mwonekano wa kizamani usio endana na majiji ya kisasa nasema HIV sio Kwa sababu tu hii njia sio dual carriage pia mifumo yake ya kiusalama ni mibovu na haiendani na wakati pamoja na mahitaji wa watu ..Hali hii inadhihirishwa na ukosefu taa za kumlikia magari,alama za barabarani,uchakavu wa lami (kuanzia buhongwa Hadi nyegezi) n.k .....
Serikali bado inatafuta pesa za ujenzi wa barabara hii lakini Kuna changamoto kubwa katika ujenzi wa barabara hii ambazo ni
-kuanzia Pepsi Hadi voil itabidi walipe mabilion ya fidia kuondoa viwanda na majengo yaliyopo hapo
-mkuyuni napo sioni nafasi ya kutosha ya ujenzi
Buhongwa na mkolani Kuna sheli za kutosha kwenye hifadhi ya barabara..hata nyegezi terminal ukuta wake uko barabarani ....
Kwa factor hizi serikali itachelewa sana kujenga hii barabara....
USHAURI
kama serikali haina pesa za kutosha bas waboreshe hii road Kwa kuweka mifumo yote Ya usalama barabarani...na kujenga feeder road za mkuyuni Hadi nyakato, buhongwa to igoma ,na butimba via saut to mkolaniView attachment 2388449View attachment 2388450
Hivi ujenzi wa barabara ya mkuyuni adi nyakato inajengwa au ni fununu tu za wananzengo wa humu.
 
Upanuzi walisema utaanzia mkuyuni.
Kama wataanzia mkuyuni..zinakuwaje km 25 ..then maeneo yenye hyo barabara ni Pepsi , mkuyuni na nyegezi .....unapoexlude kufanya expansion ya barabara Pepsi ..nakuwa Sion maana sasa
 
Kama wataanzia mkuyuni..zinakuwaje km 25 ..then maeneo yenye hyo barabara ni Pepsi , mkuyuni na nyegezi .....unapoexlude kufanya expansion ya barabara Pepsi ..nakuwa Sion maana sasa
Kuna namna watafanya nazan coz hiyo sehemu imejaa viwanda pia kuna GBP hapo.
 
Wakiishika TARURA tumeisha ...
Tanroad hawawezi kutoa tender kwa tarura, tarura wataendeleza zile barabara zilizokomea njiani, kama ya bulale, pake mkolani, pale luchelele, ile ya mawe pale mhandu, na nyashana.
 
Wakati mwanza tunalia barabara zetu za kenyatta na nyerere zenye urefu wa km 50 zitanuliwe kwa njia 4 kule mbeya serikali hv karibuni itaanza ujenzi wa barabara ya igawa to tunduma yenye km 218 kwa njia 4 😄😄😄
 
Wakati mwanza tunalia barabara zetu za kenyatta na nyerere zenye urefu wa km 50 zitanuliwe kwa njia 4 kule mbeya serikali hv karibuni itaanza ujenzi wa barabara ya igawa to tunduma yenye km 218 kwa njia 4
Huwa ni Nani anaamua hii ijengwe na hii isubiri?
 
Back
Top Bottom